Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Wale tunaodanga na bidhaa za wachina ili tupumue mjini na wale ambao mnataka kufanya biashara naomba tushauriane hapa ili kuepuka kulizwa na wachina jueni hakuna hela rahisi mjini
Maoni yangu Mimi wengine mtajazia usikubali kufanya mkataba na mchina eti anakufanya agent au distributor wa product yake eneo flani.mchina haaminiki akienda mtu mwingine na hela nae anampa mkataba mbaya zaidi na yeye anaingia soko hilo hilo kusambaza hyo bidhaa tena anashusha bei kumbuka yeye anatoka kiwandani .na mbaaaya zaidi hyo product anaweza kuitengenezea fake yake akauza tena cheap zaidi. Sasa hapo mzigo utakudodea na utaona bishara ovyo
Mzungu mzungu tu yeye akikupa kazi ya kudeal na eneo flani ni ngumu kupokea tena offer ya mtu mwingine kwa eneo hilo
Nimeona niseme hili na tushaurine maana naona watu wanagombana sana huko kimenuka. mchina kakaa pembeni naona anawacheka
Maoni yangu Mimi wengine mtajazia usikubali kufanya mkataba na mchina eti anakufanya agent au distributor wa product yake eneo flani.mchina haaminiki akienda mtu mwingine na hela nae anampa mkataba mbaya zaidi na yeye anaingia soko hilo hilo kusambaza hyo bidhaa tena anashusha bei kumbuka yeye anatoka kiwandani .na mbaaaya zaidi hyo product anaweza kuitengenezea fake yake akauza tena cheap zaidi. Sasa hapo mzigo utakudodea na utaona bishara ovyo
Mzungu mzungu tu yeye akikupa kazi ya kudeal na eneo flani ni ngumu kupokea tena offer ya mtu mwingine kwa eneo hilo
Nimeona niseme hili na tushaurine maana naona watu wanagombana sana huko kimenuka. mchina kakaa pembeni naona anawacheka