Kwa wafanyabiashara wa viungo, naomba msaada kwenye hili

Kwa wafanyabiashara wa viungo, naomba msaada kwenye hili

enzo1988

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2018
Posts
1,838
Reaction score
7,346
Kwa wale wenye uzoefu wa biashara ya viungo, naomba msaada kwenye mambo yafuatayo:

1) Bei ya kilo moja kwa kila kiungo huko mashambani.

2) Bei kwa kilo moja mpaka inafika Dar es salaam.

3) Ubora wa kila kiungo.

Viungo ambavyo navihitaji kupata taarifa zake ni :

a) Iliki

b) Mdalasini

c) Karafuu

d) Bizari

e) Pilipili Manga

f)
Tangawizi

Ahsanteni sana.
 
Kwa wale wenye uzoefu wa biashara ya viungo, naomba msaada kwenye mambo yafuatayo:

1) Bei ya kilo moja kwa kila kiungo huko mashambani.

2) Bei kwa kilo moja mpaka inafika Dar es salaam.

3) Ubora wa kila kiungo.

Viungo ambavyo navihitaji kupata taarifa zake ni :

a) Iliki

b) Mdalasini

c) Karafuu

d) Bizari

e) Pilipili Manga

f) Tangawizi

Ahsanteni sana.
Unataka tangawizi kiasi gani boss? mbichi au iliyokaushwa?
Hiyo ndiyo biashara yangu Mimi.
 

Attachments

  • IMG_20240521_134942_762.jpg
    IMG_20240521_134942_762.jpg
    3.6 MB · Views: 26
Huku nilipo shamba kilo Moja ya tangawizi mbichi ni 1200/= na kavu ni 7000/=
 
Back
Top Bottom