Kwa wafanyabiashara wanaolipa TRA

Kwa wafanyabiashara wanaolipa TRA

Mambo vp wadau?. Hivi kama umeenda TRA kufanya makadirio na waka sema utumie mashine ya EFD wakati hata uwezo WA kununua hyo mashine huna inatikiwa ufanyaje wakuu
Onyesha kumbukumbu zako za biashara (mauzo na manunuzi) kuonyesha kwamba hujafikia threshold.
Kama huna kumbukumbu, hapo utakuwa mtihani
 
Mambo vp wadau?. Hivi kama umeenda TRA kufanya makadirio na waka sema utumie mashine ya EFD wakati hata uwezo WA kununua hyo mashine huna inatikiwa ufanyaje wakuu
Siku hizi kuna smart EFD, unawekewa kwenye simu, Gharama za kuugwa 30,000, kwa mwaka unalipia 60,000 na printer zimejaa kibao Aliexpress hadi 40,000.
 
Ok...... kwani mpk uwe na EFD machine inabidi uwe na mauzo ya 11mio kwa mwaka kama sikosei! Ina maana kupitia hesabu zako za kawaida kama unafanya bookkeeping unaweza jua umefikisha au la

Na kupitia hesabu hizo wanaweza kukufanyia makadirio ya Kodi.....

zungumza nao hivyo watakuelewa lakini Kuna kigeZo Cha kumiliki machine ile lazima 11mio per year nadhani km sio net profit ni sales
 
Ila hii nchi mfumo wetu wa Kodi imekaa ovyo sana, TRA inahitaji reformation ya hali ya juu mno.

Na bahati mbaya sana wakufanya reformation hiyo hayupo.
 
Kama huna waambie sina uwezo tena kwa barua rasmi yenye dole gumba lako.

Tatizo ni kudanganya kuwa huna uwezo wakati unao.
Wameniambia niandike barua ya kuomba kuongeza muda WA kununua,
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Yani biashara n yako hakafu wanakupangia utumie mashine ya EFD kwenye mauzo yako na mteja wako. Na kama hauna hela ya kununulia uandike barua kuwaomba wakuongezee muda wa kuinunua inaamana ni lazima. Means kama hautak ufunge biashara usifanye tena.
Mtaji wa biashara n wako mwenyewe na mfanya biashara ni wewe mwenyewe
Hii nchi ngumu sana walah! Hata akishuka malaika hatoweza kuivumilia kwa dkk 20 atarudi alikotoka kwa shida atakazoziona
 
Back
Top Bottom