Kwa wafugaji wa kuku wa kienyeji pure, nahitaji wa kuuniuzia tetea nipo Dodoma

Kwa wafugaji wa kuku wa kienyeji pure, nahitaji wa kuuniuzia tetea nipo Dodoma

Mniombee

Member
Joined
Dec 14, 2018
Posts
43
Reaction score
95
Naamini mko salama wakuu,

Mimi pia ni mfugaji mpya. Nimeanza na jogoo mmoja mkubwa sana, nilimnunua kama kitoweo ghafla nikaghairi tokana na ubora wa jogoo huyo, lengo la uzi huu sasa ni kuwaomba ndugu wafugaji kuniuzia mitetea kumi ya adabu ili niendelee kujikwamua.

Niko dodoma na ninaheshimu sana mbegu za kuku wa ukanda wa singida hadi igunga. Ama kwa yeyote mwenye mbegu nzuri (kubwa) ya kuku wa kienyeji aniambie alipo na bei yake tufanye biashara. Piga simu namba, 0687921498.

Ahsanteni kwa ushirikiano.
 
Sasa tufanyeje mkuu? Zama hizi za Corona kwanini usiende kwenye masoko ya hao ndege ukachagua mwenyewe.
Kuna watu ni wafugaji wa muda sana mkuu, wakisoma bandiko hili watanipigia mkuu, hakuna haja ya kwenda kuzurura kwenye mikusanyiko masokoni, tuwape muda tu
 
Back
Top Bottom