Kwa wafugaji wa kuku wa mayai

Kwa wafugaji wa kuku wa mayai

pope john

Member
Joined
May 27, 2019
Posts
47
Reaction score
100
Habari wanabodi, poleni kwa majukumu.

Lengo la kuanzisha uzi huu ni kutaka kufahamu kilichosibu soko la mayai ya kisasa. Kwa wale wafugaji wa kuku wa mayai watakuwa na kumbukumbu ya miaka yote ya nyuma ya kuwa bei ya mayai trei moja haikuwahi kushuka chini ya 5000.

Lakini hali ilivyo kwa sasa ni kwamba trei moja ya mayai inauzwa 4,000 za kitanzania huku chakula kikiwa kimependa hadi 45,000 kutoka 40, 000 - 41,000. Nilitegemea kwamba mayai yangepanda lakin hali imekuwa tofauti.

Enyi wazoefu hebu tuambieni nini tatizo la kushuka kwa soko kiasi hicho. Je, ni watumiaji wamepungua au ni wafugaji wameongezeka?
 
Habar wanabodi, poleni kwa majukumu.Lengo la kuanzisha uzi huu ni kutaka kufahamu kilichosibu soko la mayai ya kisasa. Kwa wale wafugaji wa kuku wa mayai watakua na kumbukumbu ya miaka yote ya nyuma ya kuwa bei ya mayai trei moja haikuwahi kushuka chini ya 5000.lkn hali ilivyo kwasasa ni kwamba trei moja ya mayai inauzwa 4000 za kitanzania huku chakula kikiwa kimependa hadi 45 kutoka 40_41. Nilitegemea kwamba mayai yangepanda lakin hali imekua tofauti. Enyi wazoefu hebu tuambieni nn tatizo la kushuka kwa soko kiasi hicho.je ni watumiaji wamepungua au ni wafugaji wameongezeka .
Ngoja aje kamanda Daudi Mchambuzi ndio biashara zao hizi!
 
Wafugaji wameongezeka sana.!
Habar wanabodi, poleni kwa majukumu.Lengo la kuanzisha uzi huu ni kutaka kufahamu kilichosibu soko la mayai ya kisasa. Kwa wale wafugaji wa kuku wa mayai watakua na kumbukumbu ya miaka yote ya nyuma ya kuwa bei ya mayai trei moja haikuwahi kushuka chini ya 5000.lkn hali ilivyo kwasasa ni kwamba trei moja ya mayai inauzwa 4000 za kitanzania huku chakula kikiwa kimependa hadi 45 kutoka 40_41. Nilitegemea kwamba mayai yangepanda lakin hali imekua tofauti. Enyi wazoefu hebu tuambieni nn tatizo la kushuka kwa soko kiasi hicho.je ni watumiaji wamepungua au ni wafugaji wameongezeka .
 
Kwa jumla faida ya ufugaji mdogomdogo wa kuku wa mayai imepungua sana siku hizi. Naamini wanaoendelea kufaidi ni wafugaji wakubwa kabisa - ambao huhimili kuwa na viwanda vyao wenyewe vya chakula, daktarin wao, na kununua madawa kwa jumla.
 
Ukiona bei iko Chini jua kuna Factoe kibao.

1. Consuption iko chini au tuseme Demand iko chini.

2. Supply iko juu mno kwa sasa.

Sasa tukija kwenye Chakula kuwa juu.

-Chakula cha mofugo hasa kuku kinapanda juu kwa sababu zile raw materials zinazo tumika kutengeneza pia zinatumika kwingine.

1. Mahindi kijumuishi kikuu yanatunika pia kama chakula cha binadamu so bei lazima iwe juu.

2.Dagaa pia zinatumika na binadamu.

3. Mashudu kama ya alzeti yana kazi zingine tofauti na kulishia mifugo


So bei ya Vyakula inapanda kwa sababu ya competition iliyopo kati ya binadamu na mifugo.

Suluhisho.

Ni kuwekeza kwenye kuzalisha chakula mbdala au chakula cha bei ya chini kwa kutumia Malighafi zisizo kuwa na ushindani
Habari wanabodi, poleni kwa majukumu.

Lengo la kuanzisha uzi huu ni kutaka kufahamu kilichosibu soko la mayai ya kisasa. Kwa wale wafugaji wa kuku wa mayai watakuwa na kumbukumbu ya miaka yote ya nyuma ya kuwa bei ya mayai trei moja haikuwahi kushuka chini ya 5000.

Lakini hali ilivyo kwa sasa ni kwamba trei moja ya mayai inauzwa 4,000 za kitanzania huku chakula kikiwa kimependa hadi 45,000 kutoka 40, 000 - 41,000. Nilitegemea kwamba mayai yangepanda lakin hali imekuwa tofauti.

Enyi wazoefu hebu tuambieni nini tatizo la kushuka kwa soko kiasi hicho. Je, ni watumiaji wamepungua au ni wafugaji wameongezeka?
 
tafuteni masoko nje ya maeneo mliyopo. niko ngara Kagera. tray ya mayai tunauziwa minimum 9,000. kuna wakati inapanda 10,000-11,000. yanatolewa nje ya ngara.

sio story maana nina kijiwe cha chips.
 
Back
Top Bottom