Kwa wagombea hawa Marekani inaelekea kuwa Somalia

Kwa wagombea hawa Marekani inaelekea kuwa Somalia

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Zaidi ya miaka 30, nchi ya Somalia imekuwa ni uwanja wa mapambano wa makundi yanayopingana na hakuna mwelekeo wa kupata suluhu karibuni. Ilikuwa ni nchi yenye kheri nyingi mpaka pale walipomkufuru Mungu na kufanya kiburi kwa neema walizokuwa nazo.

Marekani nayo, kwa takriban miaka 50, imekuwa ni taifa linalotamaniwa na kila mtu kuishi na kuiga mitindo ya maisha yao mpaka katika miaka ya karibuni ambapo imekuwa ikifanya kiburi na kuwatesa watu wasiokuwa na hatia.

Katika uchaguzi wao wa wagombea uraisi, ni kama wamezama kwenye matope ya kiuongozi. Wote wawili, Joe Biden wa Democratic na Donald Trump wa Republican, hawafai kuwa raisi lakini hakuna mbadala kati yao.

Joe Biden amekuwa king'ang'anizi, hataki kujiondoa kwenye uchaguzi japokuwa kumbukumbu zimempotea. Iwapo atalazimishwa kuondoka na nafasi yake kuchukuliwa na Kamala Harris, hakutokuwa na nafuu yoyote.

Donald Trump ni mtu mwenye laana za kila aina na kashfa za kisiasa na kijamii. Joe Biden ameweka wazi kuwa ni fashisti na lazima asitishwe. Mtu huyu ana laana za uzinifu na wizi wa nyara za serikali. Zaidi ya yote ana mdomo unaotamka mambo kiholela na kuchochea chuki dhidi yake. Ndio kiongozi pekee aliyejifanya jabari na kuamua kuvunja heshima ya Jerusalem kwa Wapalestina na Waislamu kwa ujumla.

Kupigwa risasi kwake, japo ametobolewa sikio tu na kuchuruzikiwa damu usoni, lakini pigo hilo ni pigo ambalo limeijeruhi Marekani yote na itakuwa ni kidonda kisichosikia dawa.

Machafuko ndani ya Marekani katika wakati ambao imeshadhoofika ni kitu endelevu na hilo ni pigo takatifu kutoka kwa muumba wa ulimwengu kwa taifa ambalo limeongoza kufanya jeuri ya mali na elimu ambavyo walipewa dhamana tu.
 
Zaidi ya miaka 30 nchi ya Somalia imekuwa ni uwanja wa mapambano wa makundi yanayopingana na hakuna mwelekeo wa kupatikan suluhu karibuni.Ilikuwa ni nchi yenye kheri nyingi mpaka pale walipomkufuru Mungu na kufanya kiburi kwa neema walilzokuwa nazo.

Marekani nayo kwa takriban miaka 50 imekuwa ni taifa linalotamaniwa na kila mtu kuishi na kuiga mitindo ya maisha yao mpaka katika miaka ya karibuni ambapo imekuwa ikifanya kiburi na kuwatesa watu wasiokuwa na hatia.

Katika uchaguzi wao wa wagombea uraisi ni kama wamezama kwenye matope ya kiungauzi.Wote wawili,Joe Biden wa Democratic na Donald Trump wa Republican hawafai kuwa raisi lakini hakuna mbadala kati yao.

Joe Biden amekuwa king'ang'anizi hataki kujiondoa kwenye uchaguzi japokuwa kumbukumbu zimempotea.Iwapo atalazimishwa kuondoka na nafasi yake kuchukuliwa na Kamala Harris hakutokuwa na nafuu yoyote.

Donald Trump ni mtu mwenye laana za kila aina na kashfa za kisiasa na kijamii.Joe Biden ameweka wazi kuwa ni fashisti na lazima asitishwe.Mtu huyu ana laana za uzinifu na wizi wa nyara za serikali.Zaidi ya yote ana mdomo unaotamka mambo kiholela na kuchochea chuki dhidi yake.Ndio kiongozi peke yake aliyejifanya jabari na kuamua kuvunja heshima ya Jerusalem kwa wapalestina na waislamu kwa ujumla.

Kupigwa risasi kwake japo ametobolewa sikio tu na kuchuruzikia damu usoni lakini pigo hilo ni piga ambalo limeijeruhi Marekani yote na itakuwa ni kidonda kisichosikia dawa.

Machafuko ndani ya Marekani katika wakati ambao imeshadhoofika ni kitu endelevu na hilo ni pigo takatifu kutoka kwa muumba wa ulimwengu kwa taifa ambalo limeongoza kufanya jeuri ya mali na elimu ambavyo walipewa dhamana tu.
Nonsense
 
Zaidi ya miaka 30 nchi ya Somalia imekuwa ni uwanja wa mapambano wa makundi yanayopingana na hakuna mwelekeo wa kupatikan suluhu karibuni.Ilikuwa ni nchi yenye kheri nyingi mpaka pale walipomkufuru Mungu na kufanya kiburi kwa neema walilzokuwa nazo.

Marekani nayo kwa takriban miaka 50 imekuwa ni taifa linalotamaniwa na kila mtu kuishi na kuiga mitindo ya maisha yao mpaka katika miaka ya karibuni ambapo imekuwa ikifanya kiburi na kuwatesa watu wasiokuwa na hatia.

Katika uchaguzi wao wa wagombea uraisi ni kama wamezama kwenye matope ya kiungauzi.Wote wawili,Joe Biden wa Democratic na Donald Trump wa Republican hawafai kuwa raisi lakini hakuna mbadala kati yao.

Joe Biden amekuwa king'ang'anizi hataki kujiondoa kwenye uchaguzi japokuwa kumbukumbu zimempotea.Iwapo atalazimishwa kuondoka na nafasi yake kuchukuliwa na Kamala Harris hakutokuwa na nafuu yoyote.

Donald Trump ni mtu mwenye laana za kila aina na kashfa za kisiasa na kijamii.Joe Biden ameweka wazi kuwa ni fashisti na lazima asitishwe.Mtu huyu ana laana za uzinifu na wizi wa nyara za serikali.Zaidi ya yote ana mdomo unaotamka mambo kiholela na kuchochea chuki dhidi yake.Ndio kiongozi peke yake aliyejifanya jabari na kuamua kuvunja heshima ya Jerusalem kwa wapalestina na waislamu kwa ujumla.

Kupigwa risasi kwake japo ametobolewa sikio tu na kuchuruzikia damu usoni lakini pigo hilo ni piga ambalo limeijeruhi Marekani yote na itakuwa ni kidonda kisichosikia dawa.

Machafuko ndani ya Marekani katika wakati ambao imeshadhoofika ni kitu endelevu na hilo ni pigo takatifu kutoka kwa muumba wa ulimwengu kwa taifa ambalo limeongoza kufanya jeuri ya mali na elimu ambavyo walipewa dhamana tu.
Wewe hapo ulipo una uhakika Huna laana ya uzinifu??
Kwanini uhukumu na wewe ni binadamu tu wakawaida?
 
Zaidi ya miaka 30 nchi ya Somalia imekuwa ni uwanja wa mapambano wa makundi yanayopingana na hakuna mwelekeo wa kupatikan suluhu karibuni.Ilikuwa ni nchi yenye kheri nyingi mpaka pale walipomkufuru Mungu na kufanya kiburi kwa neema walilzokuwa nazo.

Marekani nayo kwa takriban miaka 50 imekuwa ni taifa linalotamaniwa na kila mtu kuishi na kuiga mitindo ya maisha yao mpaka katika miaka ya karibuni ambapo imekuwa ikifanya kiburi na kuwatesa watu wasiokuwa na hatia.

Katika uchaguzi wao wa wagombea uraisi ni kama wamezama kwenye matope ya kiungauzi.Wote wawili,Joe Biden wa Democratic na Donald Trump wa Republican hawafai kuwa raisi lakini hakuna mbadala kati yao.

Joe Biden amekuwa king'ang'anizi hataki kujiondoa kwenye uchaguzi japokuwa kumbukumbu zimempotea.Iwapo atalazimishwa kuondoka na nafasi yake kuchukuliwa na Kamala Harris hakutokuwa na nafuu yoyote.

Donald Trump ni mtu mwenye laana za kila aina na kashfa za kisiasa na kijamii.Joe Biden ameweka wazi kuwa ni fashisti na lazima asitishwe.Mtu huyu ana laana za uzinifu na wizi wa nyara za serikali.Zaidi ya yote ana mdomo unaotamka mambo kiholela na kuchochea chuki dhidi yake.Ndio kiongozi peke yake aliyejifanya jabari na kuamua kuvunja heshima ya Jerusalem kwa wapalestina na waislamu kwa ujumla.

Kupigwa risasi kwake japo ametobolewa sikio tu na kuchuruzikia damu usoni lakini pigo hilo ni piga ambalo limeijeruhi Marekani yote na itakuwa ni kidonda kisichosikia dawa.

Machafuko ndani ya Marekani katika wakati ambao imeshadhoofika ni kitu endelevu na hilo ni pigo takatifu kutoka kwa muumba wa ulimwengu kwa taifa ambalo limeongoza kufanya jeuri ya mali na elimu ambavyo walipewa dhamana tu.
Webabu biden tulia......
IMG_20240714_090219.jpg
 
Wewe hapo ulipo una uhakika Huna laana ya uzinifu??
Kwanini uhukumu na wewe ni binadamu tu wakawaida?
Hakuna hukumu niliyotoa hapo. Ni maonyo kutokana na matokeo. Hukumu halisi iko huko mbele.
 
Zaidi ya miaka 30 nchi ya Somalia imekuwa ni uwanja wa mapambano wa makundi yanayopingana na hakuna mwelekeo wa kupatikan suluhu karibuni.Ilikuwa ni nchi yenye kheri nyingi mpaka pale walipomkufuru Mungu na kufanya kiburi kwa neema walilzokuwa nazo.

Marekani nayo kwa takriban miaka 50 imekuwa ni taifa linalotamaniwa na kila mtu kuishi na kuiga mitindo ya maisha yao mpaka katika miaka ya karibuni ambapo imekuwa ikifanya kiburi na kuwatesa watu wasiokuwa na hatia.

Katika uchaguzi wao wa wagombea uraisi ni kama wamezama kwenye matope ya kiungauzi.Wote wawili,Joe Biden wa Democratic na Donald Trump wa Republican hawafai kuwa raisi lakini hakuna mbadala kati yao.

Joe Biden amekuwa king'ang'anizi hataki kujiondoa kwenye uchaguzi japokuwa kumbukumbu zimempotea.Iwapo atalazimishwa kuondoka na nafasi yake kuchukuliwa na Kamala Harris hakutokuwa na nafuu yoyote.

Donald Trump ni mtu mwenye laana za kila aina na kashfa za kisiasa na kijamii.Joe Biden ameweka wazi kuwa ni fashisti na lazima asitishwe.Mtu huyu ana laana za uzinifu na wizi wa nyara za serikali.Zaidi ya yote ana mdomo unaotamka mambo kiholela na kuchochea chuki dhidi yake.Ndio kiongozi peke yake aliyejifanya jabari na kuamua kuvunja heshima ya Jerusalem kwa wapalestina na waislamu kwa ujumla.

Kupigwa risasi kwake japo ametobolewa sikio tu na kuchuruzikia damu usoni lakini pigo hilo ni piga ambalo limeijeruhi Marekani yote na itakuwa ni kidonda kisichosikia dawa.

Machafuko ndani ya Marekani katika wakati ambao imeshadhoofika ni kitu endelevu na hilo ni pigo takatifu kutoka kwa muumba wa ulimwengu kwa taifa ambalo limeongoza kufanya jeuri ya mali na elimu ambavyo walipewa dhamana tu.
Una passport tukuchangie nauli ya kuhudhuria sherehe ya kuapishwa kwa Trump kuwa Rais wa Marekani?
 
Back
Top Bottom