Wadada wanene wanapendeza sana machoni, na huwa wanaamsha hisia, hasa kama wana big wowowo. Na pia ukiwa-caress wanaamsha hisia kali haraka kwa sababu ya u-softness wao. Lkn tatizo lao ni "wazito" ktk majambos: hawajitumi au kuwajibika ipasavyo kwenye 6X6, kama wafanyavyo wembamba. Kwa hiyo mm napendelea wembamba: ni rahisi kuwafanya au kuwageuza geuza.
Wakaka wenzangu mnasemaje kwa hili?
Happy and Prosperous New Year 2010 to all of you, JF ladies included!!!
ungeweza kuedit hapohapo tu bila kujiquote.......
huku ni kutushusha soko sie wanene....:redfaces::redfaces::redfaces:
huku ni kutushusha soko sie wanene....:redfaces::redfaces::redfaces:
huku ni kutushusha soko sie wanene....:redfaces::redfaces::redfaces:
We mnene?? Perfect .:whoo:
usijali mamie hapa tuko watu wa idara tofauti ni pm tu.
Ah wapi, hebu ni PM mama tujadili kidogo hili suala.......
unafikiri kila mnene ni mzito,utazungushwa kama feni uwape watu murder case,na utabinuliwa huku na kule kama....,ni namna tu huyo mdada anavyojiendekeza au kinyume chake,wembamba wangapi ni wasoma magazeti wazuti tu kitandani
halafu mimi nadhani pia kujituma kitandani inategemea na aina ya mwanaume uliyenaye naye anayaweza vipi,msitake kutupa lawama za bure wakati mwingine kumbe nyie ndie chanzo
Mi bado nasubiri tu,si uliniahidi utanitafura?
hahahahaaa andaa mbuzi kabisa wasupu na Ambulance,na kikaratasi cha maandishi ya mkono wako mwenyewe kuwa nisibughudhiwe ulikuja kwa hiari yako