Kwa Wakazi wa Dar hivi hapo chumbani kwako mbu wapo au ni hapa kwangu ni Neema imenishukia.!!!

Kwa Wakazi wa Dar hivi hapo chumbani kwako mbu wapo au ni hapa kwangu ni Neema imenishukia.!!!

mjenziwakale

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2015
Posts
954
Reaction score
1,469
Aisee huwezi amini kwa mara ya kwanza ndani ya kipindi cha miaka 13 tokea niingie hapa mjini nalala bila kufunga chandarau maana mbu wametoweka kabisaa, hata sauti siisikii kabisaa. Vipi huko kwenu?? Sijui ni nn kimewasibu hawa watesi wangu (mbu) hapa nyumbani.
 
Hivi na hawa si wako huko daslam?
FB_IMG_17414112298585464.jpg
 
Mbu ni janga. Walitoweka kidogo upepo ulikuwa unavuma sana lakini hao mbu wawili tu waliobaki wanalet balaa,,hasa kwa umri wangu.
Halafu lazima uwe na medical card,kwa sababu ukiugua halafu unasubiiri subiri kuona kama utapona,hiyo ni shari.
Kuna tatizo la cerebral malaria.
Mimi I believe this,unaweza kusahau kushusha chandarua,mbu wakauuma muda mrefu,ukaamka asubuhi incurable ,not the body,but the mind.
 
Mbu ni janga. Walitoweka kidogo upepo ulikuwa unavuma sana lakini hao mbu wawili tu waliobaki wanalet balaa,,hasa kwa umri wangu.
Halafu lazima uwe na medical card,kwa sababu ukiugua halafu unasubiiri subiri kuona kama utapona,hiyo ni shari.
Kuna tatizo la cerebral malaria.
Mimi I believe this,unaweza kusahau kushusha chandarua,mbu wakauuma muda mrefu,ukaamka asubuhi incurable ,not the body,but the mind.

Wewe ni mtu ambaye hauitaji insurance kutibiwa hapa Tz

You can be treated as VVIP wherever you go in this country.
 
Back
Top Bottom