kwa wakazi wa moshi tu! NATAFUTA KAZI YA KUJITOLEA

mtendakazi

Member
Joined
Mar 14, 2012
Posts
26
Reaction score
7
jamani kwa mkazi wa moshi anayejishugulisha au anayefanya kazi kwenye organization yeyote inayojishugulisha na ustawi wa afya ya jamii aidha katika kutoa elimu au kufanya research naomba anipe taarifa ya wapi walipo ili niweze kufka sehemu husika na kuona kama kuna uwezekano wa kupata nafasi ya kujitolea mdogo wangu ambaye kitaaruma ni daktari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…