Kwa mwanza sawa, dar ni utumbo mtupu! niifanya kati ya 1999-2001, ku ukweli ni ugonjwa wa moyo, unaweza ng'oa mtu meno. Kwa dar tafuta zile basi kubwa za kichina zinalipa sana, ningekuwa na hea ningefanya. NOAH zinafanya kazi sana mikoani na wanapata hela nzuri sana. Kuna mtu anayo Musoma anaagiza nyingine soon. Usiangalie Hiace tu.