Kwa wakubwa tu!!!!!!!!!!!!!!!

Kwa wakubwa tu!!!!!!!!!!!!!!!

charger

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2010
Posts
2,320
Reaction score
1,371
Habari ya mchana,asubuhi etc wana jf.Naamini Mola anaendelea kuwapa uhai japo wakati mwingine mnasahau kumshukuru na kutubu kwa kuvunja amri ya 7 kwa kujitambulilisha jukwaani kwa majina yasiyokuwemo kwenye vyeti vyenu vya kuzaliwa.
Tuachanane na hayo,hoja yangu leo ni kuhusu milio ya magari na wasafiri.Yapo magari aina nyingi kama scania,fiat,Nissan march,Toyota hilux,Suzuki escudo,Nissan murrano,Leyland na mengine mengi.Ishu inakuja wakati wa safari kuna magari yanamlio mkubwa tangu mwanzo wa safari hadi mwisho,mengine hata kama hayana mzigo mkubwa yanalia kama yana tani 200 za sukari,mengine yanalia kama vile yapo na speed 160km/hr kumbe unaweza kukuta ni speed 20 tu.Mengine yanaunguruma kama simba,mengine yanatoa sauti kama vile gear imeingizwa bila kukanjangwa clutch,mengine mlio kama mafla zimepasuka,mengine kama vile yanatembelea rim.
Namengine yenyewe ni kimya kimya tu liwe na mzigo ,kona kali,mteremko mkali lenyewe ni kimya tu.Na mengine likiwashwa tu basi wapangaji woooote watajua baba,mama,dada au kaka flani kaanza safari
Swali ni hivi,je sauti na mlio wa gari au ukimya wa gari wakati wa safari unauhusiano wowote katika kumpa hamasa au kumwondolea raha msafiri?
Nawasililisha hoja kwa yeyote atakaye husika.
 
Kama hupeni mlio wa gari lako, jaribu kutembelea 4wheel tuone, yani fanya kitu cha kwenye tope.
 
Una uhusiano...ila yabidi kuwa makini wakati mwingine au kwa baadhi ya watu ni kero!:juggle::lol:
 
Unapaswa kuwa unabadiri oil kila mwisho wa wiki mkuu, au kama unalo moja nunua lingine lenye mlio tofauti
 
Duh! Pongezi mkuu!!! Huo ufafanuzi hata akija mtoto wa miaka 8 hapati picha..
 
Good narration of your thought and clear statement... Nimeipenda sana hii imekaa vizuri na ki ustaarabu zaidi.
 
Kama hupeni mlio wa gari lako, jaribu kutembelea 4wheel tuone, yani fanya kitu cha kwenye tope.

siku zinavyozidi kwenda nahisi kuna jambo linakubadili Biggie.....sijui ni nini...but some comments waga nafikiri labda kuna mtu ana tumia ID yako....am sorry if in anyway i have offended you...ndo ninavyoona!
 
Uhusiano upo, ila kwa wengine huwa ni kero na karaha ila kwa wengine huwa ni hamasa ya kuzidi kupangua gia
 
siku zinavyozidi kwenda nahisi kuna jambo linakubadili Biggie.....sijui ni nini...but some comments waga nafikiri labda kuna mtu ana tumia ID yako....am sorry if in anyway i have offended you...ndo ninavyoona!

Michelle muache Biggie ALONE......anatoa experience yake....inabidi a talk freely.
 
Mi nadhani mlio ni kitu muhimu kukizingatia wakati wa safari maana magari mengine mlio inamaanisha umeweka gia nzuri hivyo safari ni tamu na aina nyingine ya magari mlio mkubwa unaweza ukamaanisha mzigo ni mzito gari linapata taabu sana. to me gari bila mlio nahisi kama hakuna safari. ni hayo tu
 
Kama hupeni mlio wa gari lako, jaribu kutembelea 4wheel tuone, yani fanya kitu cha kwenye tope.


sijui kama nimeielewa vibaya au lah!! ila kama ndio hivyo!! sijaipenda kwa kweli
 
Habari ya mchana,asubuhi etc wana jf.Naamini Mola anaendelea kuwapa uhai japo wakati mwingine mnasahau kumshukuru na kutubu kwa kuvunja amri ya 7 kwa kujitambulilisha jukwaani kwa majina yasiyokuwemo kwenye vyeti vyenu vya kuzaliwa.
Tuachanane na hayo,hoja yangu leo ni kuhusu milio ya magari na wasafiri.Yapo magari aina nyingi kama scania,fiat,Nissan march,Toyota hilux,Suzuki escudo,Nissan murrano,Leyland na mengine mengi.Ishu inakuja wakati wa safari kuna magari yanamlio mkubwa tangu mwanzo wa safari hadi mwisho,mengine hata kama hayana mzigo mkubwa yanalia kama yana tani 200 za sukari,mengine yanalia kama vile yapo na speed 160km/hr kumbe unaweza kukuta ni speed 20 tu.Mengine yanaunguruma kama simba,mengine yanatoa sauti kama vile gear imeingizwa bila kukanjangwa clutch,mengine mlio kama mafla zimepasuka,mengine kama vile yanatembelea rim.
Namengine yenyewe ni kimya kimya tu liwe na mzigo ,kona kali,mteremko mkali lenyewe ni kimya tu.Na mengine likiwashwa tu basi wapangaji woooote watajua baba,mama,dada au kaka flani kaanza safari
Swali ni hivi,je sauti na mlio wa gari au ukimya wa gari wakati wa safari unauhusiano wowote katika kumpa hamasa au kumwondolea raha msafiri?
Nawasililisha hoja kwa yeyote atakaye husika.

Aisee mlio wa gari unahusika sana....yaani kama mlio wa ukweli, basi safari huwa fupi saa nyingine. Lakini kuna gari nyingine zina milio feki, sasa kama speed ni 20 halafu gari linalia utafikiri 120, ukishtukia basi utamu wa safari hupotea kabisa yani, unaona kama unaibiwa nauli yako.
 
mmh haya bwana Bigirita ila ungetoa ufafanuzi zaidi kuhusu kitu cha topeni.
Kama hupeni mlio wa gari lako, jaribu kutembelea 4wheel tuone, yani fanya kitu cha kwenye tope.
 
Back
Top Bottom