Kwa wakubwa tu!!!!!!!!!!!!!!!

Mimi nakusifu sana kwa tafsida,ila inaonekana wewe ni fungi magari au derefa(driver)maana ulivyorelaty wacha kabisa!
 
Aisee hivi TZ kuna degeee ya kiswahili? Jamaa nimekuvulia kofia
 
nakumbuka magari mengine yantoa muungurumo wa yaaaaaaaaaaaaaaanaah, uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, jaaaaaaaaaaamaaaaaaaaaaaniiiii,iiiiiii
 
Aisee hivi TZ kuna degeee ya kiswahili? Jamaa nimekuvulia kofia
Dena kunawatoto watundu siku hizi hata hizi kona wanapita tusije tukawaharibu.Siku wakasikia hiyo milio wakaamka na kusimama barabarani kuona hayo magari
 
mlio wa gari ni muhimu aisee,,, inaongeza utamu wa safari, ukiwa nayo mengi vile vile utafaidi sana kwani ukihitaji mlio tofauti unachange gari...
 
Mhh we kiboko unatoaga wapi hizi? haya bwana ila bahati mbaya nilisoma science

Mkuu hilo si tatizo...mbona Mkwere anayo!!!

Sema wewe Mkuu Papa Diana
Hizi Degree za heshima haziangalii ulisomea Udaku au Usharobaro
Unatunukiwa tu kwa kazi yako/mchango wako hata kama ni nje na professional yako.
Kama wewe ni Engineer, lakin ukatoa mchango mkubwa au ukafanikiwa kusuhulisha mgogoro uliowashinda hata wanasiasa wangongwe duniani lazima utunukiwe.
Kama wewe ni daktari wa mifupa ya binadamu lakin ukagundua mbinu mpya ya kuwadhibiti waasi waliojaribu kuteka mkoa wa kagera, Jeshi litakutunuku
 
Mi nasikia mnazungumzia tu milio ya magari, vp kwa wale madereva wanaopiga mayowe hasa wanapokaribia mwisho wa safari?
 
Kwakweli hapa jamvini tunajifunza mambo mengi,nimewasoma CPU na Papa Diana
 
Mmhhh
my dear mie napenda mkokoteni..
Movement yake ni kwa staji na step za mtu ..
haitumii petrol,disel, mogas, avgas au mafuta ya taa.
is not made in japan or german..
kwa hiyo sio artificial..
I love it coz is hand made
original from TZ ..
Sauti yake ni minimum..
Hau hitaji ku do service every six mnth..
lifetime insurance..
duhh ngoja ninywe maji ..
 
Ahaaa ahaaa ahaaa l.o.l haya banaaa
 

Mimi na swali kwako Charger, yaani wewe umeshaendesha magari ya aina zote hizo, mpaka ukawa na uzoefu wa kujua sauti za magari ya aina zote???!!!........:confused2:
 
Siku hizi mtaa ninaoshi mimi hauji kunitembelea au kwa vile nimehama nyumbani na pia yule mtu karudi ndio hata usije kunisalimia

nimekuchunia.....nataka ufurahie ujio wake then tutakuwa kama zamani....:juggle:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…