mayoscissors JF-Expert Member Joined Nov 24, 2009 Posts 975 Reaction score 478 Jan 1, 2020 #1 Kwa ukavu wa 2019 nadhani tuko wengi,nanini kajitoa fahamu eti 6.1.2020 mbali! Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ukavu wa 2019 nadhani tuko wengi,nanini kajitoa fahamu eti 6.1.2020 mbali! Sent using Jamii Forums mobile app
EvilSpirit JF-Expert Member Joined Jun 15, 2017 Posts 10,576 Reaction score 16,644 Jan 1, 2020 #2 Umeandika nini wewe,kibaya zaidi ni expert member
Pyaar JF-Expert Member Joined Feb 11, 2018 Posts 16,078 Reaction score 77,186 Jan 1, 2020 #3 Wenzio wanatumia masalia wewe watumia ada!!!!
MLEVi Mmoja JF-Expert Member Joined Jun 29, 2019 Posts 8,514 Reaction score 15,050 Jan 1, 2020 #4 Tumezinjwa maanake ni nini we jamaa Sent using Jamii Forums mobile app
Atoto JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 86,410 Reaction score 169,862 Jan 1, 2020 #5 Hivi ni kwamba mkipost kuna mtu anaedit post zenu anawaandikia maroroso au[emoji134][emoji134][emoji134] Hii post ya tatu nakutana nayo ya hovyo hovyo.
Hivi ni kwamba mkipost kuna mtu anaedit post zenu anawaandikia maroroso au[emoji134][emoji134][emoji134] Hii post ya tatu nakutana nayo ya hovyo hovyo.
Deva JF-Expert Member Joined May 29, 2018 Posts 1,238 Reaction score 1,812 Jan 1, 2020 #6 Bado una hangover, nadhani ulimaanisha kwamba wale mliokunywa pombe kwa hela ya ada ya watoto, ha ha ha usihofu wanakuja.
Bado una hangover, nadhani ulimaanisha kwamba wale mliokunywa pombe kwa hela ya ada ya watoto, ha ha ha usihofu wanakuja.
Mbaga Jr JF-Expert Member Joined May 28, 2018 Posts 29,028 Reaction score 69,666 Jan 1, 2020 #7 baba wa mtoa mada akipitia mada h na akakuta aliyeandika ni mwanae, aise mtoa mada lazima aliwe dodo kwa kuchezea pesa ya baba
baba wa mtoa mada akipitia mada h na akakuta aliyeandika ni mwanae, aise mtoa mada lazima aliwe dodo kwa kuchezea pesa ya baba