Kwa wale ambao hamjawahi kupitia umasikini kabisa

Kwa wale ambao hamjawahi kupitia umasikini kabisa

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Bei za vyakula zikipanda kama nyakati hizi maskini ndio wanaoteseka zaidi,inabidi wabadili ratiba za milo na kiasi . Ugali ukibaki hautupwi, unaliwa asubuhi na chai.

Maskini ndio wanaoteseka na huduma mbovu za Afya, wanasongamana hospitali, wanachelewa kupata huduma au wanaweza wasipate huduma kabisa.

Kwenye dharura na majanga wao ndio wahanga wakubwa na wanaotaseka zaidi. Mfano katika eneo lenye mafuriko kila msimu bado utawakuta hapo hadi waondolewe kwa nguvu.

Masikini wanaishi kwenye makazi duni, slums ni makazi ya masikini. Unaweza kukuta familia ya watu Watano yenye wanaume na wanawake wanaishi kwenye vyumba viwili vilivyo karibu kabisa na mtaro wa maji machafu

Masikini wanakuwa katika hali ya kukosa usalama zaidi. Ukisikia panya road, tatu mzuka n.k wahanga wake wengi ni masikini.

Kwenye usafiri wa umma wanasongamana na kuvijiana majasho huku pia wanakooleana .

Haya ni machache tu.
 
Bei za vyakula zikipanda kama nyakati hizi maskini ndio wanaoteseka zaidi,inabidi wabadili ratiba za milo na kiasi . Ugali ukibaki hautupwi, unaliwa asubuhi na chai.

Maskini ndio wanaoteseka na huduma mbovu za Afya, wanasongamana hospitali, wanachelewa kupata huduma au wanaweza wasipate huduma kabisa.

Kwenye dharura na majanga wao ndio wahanga wakubwa na wanaotaseka zaidi. Mfano katika eneo lenye mafuriko kila msimu bado utawakuta hapo hadi waondolewe kwa nguvu.

Masikini wanaishi kwenye makazi duni, slums ni makazi ya masikini. Unaweza kukuta familia ya watu Watano yenye wanaume na wanawake wanaishi kwenye vyumba viwili vilivyo karibu kabisa na mtaro wa maji machafu

Masikini wanakuwa katika hali ya kukosa usalama zaidi. Ukisikia panya road, tatu mzuka n.k wahanga wake wengi ni masikini.

Kwenye usafiri wa umma wanasongamana na kuvijiana majasho huku pia wanakooleana .

Haya ni machache tu.
Nani wanaoipa kura ccm? Ni hao hao!
 
Hakuna amani yoyote katika umaskini.
Hakuna furaha yoyote katika umaskini.
Hakuna tumaini lolote katika umaskini.
Hakuna ufahari wowote katika umaskini.
Hakuna thamani yoyote katika umaskini.
Hakuna jema wala wema wowote katika umaskini .
 
Hakuna amani yoyote katika umaskini.
Hakuna furaha yoyote katika umaskini.
Hakuna tumaini lolote katika umaskini.
Hakuna ufahari wowote katika umaskini.
Hakuna thamani yoyote katika umaskini.
Hakuna jema wala wema wowote katika umaskini .
Fact
 
Bei za vyakula zikipanda kama nyakati hizi maskini ndio wanaoteseka zaidi,inabidi wabadili ratiba za milo na kiasi . Ugali ukibaki hautupwi, unaliwa asubuhi na chai.

Maskini ndio wanaoteseka na huduma mbovu za Afya, wanasongamana hospitali, wanachelewa kupata huduma au wanaweza wasipate huduma kabisa.

Kwenye dharura na majanga wao ndio wahanga wakubwa na wanaotaseka zaidi. Mfano katika eneo lenye mafuriko kila msimu bado utawakuta hapo hadi waondolewe kwa nguvu.

Masikini wanaishi kwenye makazi duni, slums ni makazi ya masikini. Unaweza kukuta familia ya watu Watano yenye wanaume na wanawake wanaishi kwenye vyumba viwili vilivyo karibu kabisa na mtaro wa maji machafu

Masikini wanakuwa katika hali ya kukosa usalama zaidi. Ukisikia panya road, tatu mzuka n.k wahanga wake wengi ni masikini.

Kwenye usafiri wa umma wanasongamana na kuvijiana majasho huku pia wanakooleana .

Haya ni machache tu.
Eti kukoooleana hahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
nenda kwenye mapipa mkocheni masaki ukashudie kuku mapakti ya maziwa matunda yalio tupwa

Kipindi nimetoka tu kumaliza form 4 Kuna jalala moja la kishua liko mlimani nimeokota Sana mikate , blueband, dawa za meno ambazo hazijaisha , mafuta , nguo , na vitu vingi tu.

Nabeba napeleka nyumbani naendelea kuishi.
 
Hakuna amani yoyote katika umaskini.
Hakuna furaha yoyote katika umaskini.
Hakuna tumaini lolote katika umaskini.
Hakuna ufahari wowote katika umaskini.
Hakuna thamani yoyote katika umaskini.
Hakuna jema wala wema wowote katika umaskini .
Wacha MUNGU aitwe MUNGU licha ya yote hayo, masikini na matajiri hurudi mavumbini.
 
Back
Top Bottom