kwa wale ambao hawajayaona majina yao sta-shahada na shahada.

LOOOK

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2011
Posts
3,389
Reaction score
674
Kuna baadhi ya walimu wa stashahada na shahada ambao hawajayaona majina yao kwenye orodha iliyo tangazwa jana mnatakiw kusubiri awamu ya pili ya ajira ambayo itatoka mwezi may baada ya taarifa za hawa walio pangwa sasa kutumwa wiarani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…