Kwa wale ambao wamejikuta wanaishi au kuamia kwenye maneo ya maji chumvi

Kwa wale ambao wamejikuta wanaishi au kuamia kwenye maneo ya maji chumvi

bukoba04

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2014
Posts
1,402
Reaction score
1,291
Habarini wana Jamvi ...!

Binafsi kwa sasa naishi mkoa wa Morogoro baada ya kuhamishiwa kikazi mkoa huu, nikitokea DSM..

Nimekuwa napata shida na maji ya chunvi ya mkoa huu, kiasi cha kuniondolea utanashati wangu, hata wengine kuniambia ngozi yangu inapauka...

Naomba kujua wanajanvi, katika vitu vifuatavyo, Sabuni ya kuogea, Mafuta ya kujipaka mwilini, na Shampoo ya nywele, vyote kwa pamoja ni aina gani, vitaweza kuendana na Maji na hali ya hewa ya mkoa huu...

Nikiwa Dar, nilikuwa natumia sana Dettol nyeupe, au Sabuni rungu na mafuta ya kupaka nilikuwa natumia Nivea for Men, ile kubwa ya Blue ya elfu10...

Nawasilisha
 
habarini wana Jamvi...!

Binafsi kwa sasa naishi mkoa wa Morogoro baada ya kuhamishiwa kikazi mkoa huu, nikitokea DSM..

Nimekuwa napata shida na maji ya chunvi ya mkoa huu, kiasi cha kuniondolea utanashati wangu, hata wengine kuniambia ngozi yangu inapauka...

naomba kujua wanajanvi, katika vitu vifuatavyo, Sabuni ya kuogea, Mafuta ya kujipaka mwilini, na Shampoo ya nywele, vyote kwa pamoja ni aina gani, vitaweza kuendana na Maji na hali ya hewa ya mkoa huu...

Nikiwa Dar, nilikuwa natumia sana Dettol nyeupe, au Sabuni rungu ns msfuts ys kupsks nilikuwa natumia Nivea for zmeni, ile kubwa ya Blue ya elfu10...

Nawasilisha
Water therapy ni nzuri sana ukiifuata vizuri,bila ya kutokusahau ulaji wa matunda kwa wingi,hutatumia Nivea,wala cream yoyote na ngozi yako itakuwa nzuri sana..
 
Water therapy ni nzuri sana ukiifuata vizuri,bila ya kutokusahau ulaji wa matunda kwa wingi,hutatumia Nivea,wala cream yoyote na ngozi yako itakuwa nzuri sana..

Interesting naomba ufafanue zaidi hiyo water therapy inakuaje
 
Nakushauri uepukane na sabuni zenye magadi kwasababu nami pia ni muanga na nimeanza na hilo ila pia jaribu kupaka mafuta yatakayoacha ngozi yako ikiwa nyevu..
Namatumaini kua itakusaidia
 
Nakushauri uepukane na sabuni zenye magadi kwasababu nami pia ni muanga na nimeanza na hilo ila pia jaribu kupaka mafuta yatakayoacha ngozi yako ikiwa nyevu..
Namatumaini kua itakusaidia
Teeena....basi mimi sabuni za magadi ndo kimbilio langu ikitokea ninaoga maji ya chumvi maana ndo ina povu kwa wingi sabuni nyingine nukiogea na maji ya chumvi ule uhaba wa povu huwa nahisi nimetoka bafuni na uchafu wangu
 
Teeena....basi mimi sabuni za magadi ndo kimbilio langu ikitokea ninaoga maji ya chumvi maana ndo ina povu kwa wingi sabuni nyingine nukiogea na maji ya chumvi ule uhaba wa povu huwa nahisi nimetoka bafuni na uchafu wangu
Basi ngozi hizi zinahila mie nlitumia sabuni ya magadi nikawa natoka kuoga nimepauka kama nimeparazwa na jua la sahara
 
tumia sabuni ya unga kukogea au axon soft .for skin. pia tumia CLERÉ COCOA BUTTER kupakaa hutajuta
 
Back
Top Bottom