Kwa wale CHAPUTA kuna ukweli hapa?

Nilikua sijui, ila inawezekana maana tangu May iingie nimekua nikioga mikono ikifika maeneo ya kiunoni tu inaganda haitoki.

Nikaamua nikiwa naoga nianzie kitovuni kuja kichwani huko chini kutajua kwenyewe, ila kwa hii taarifa inabidi nitii azimio la kimataifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…