kwa wale first year embu tupeane ma feedback ya chuo

watch your words!acha udhalilishaji...koment yako haioneshi Kupevuka kitaaluma.hakuna kozi ya kike wala ya kiume.kumbuka watu wote hawawez kusoma sayansi,there must be INTERDEPENDANCE!
afadhali umewaambia ukweli
maana hawa watoto waliochukua kozi za kike a.k.a arts huwa wanabonga
sana
 
Siku hizi BVM rahisi eenh? Maana naona mnapata hadi nafasi ya kuja kuchangamsha jukwaa huku JF. Au Prof: Mama Pereka amestaafu nini?
 
Huyo boya anataka ulete mada ya kumuomba ushauri umetembea na mama mkwe ndio atachangia.LAKINI KUWAJULIA HALI WANACHUO WENZAKO YEYE HAONI UMUHI.BASI UMOJA SIO NGUVU KWA POINT ZAKE.

Wewe ndiye umesema ulimaliza chuo siku nyingi na upo kazini kitambo na utendaji wako wa kazi upo juu?
Ni-PM nikupe past paper za EGM tayari nimezipata.
 
professional course ni 4 yrs minimum..sasa wewe upo 1st yr mbwembwe kibao...engineering vilaza kibao tu hat div 3.14 nk wamo kibao...acha mawazo ya kisua sua huko porini...alaaaah
 
Huo upatikanaji umeambatana na maneno yasiyo na msingi.
 
professional course ni 4 yrs minimum..sasa wewe upo 1st yr mbwembwe kibao...engineering vilaza kibao tu hat div 3.14 nk wamo kibao...acha mawazo ya kisua sua huko porini...alaaaah

kijana..uko chuo?! Au nursery maana mawazo yako yamekaaakaa kama mtoto anayevalishwa nepi? Embu toa mawazo yako ya kitetea
 
Sasa jaman! Hv kila m2 akitoa fdbak za chuon kwake si hapatatosha hapa jaman. Nafkr ka kuna tatzo ndo pakuambiana ili 2shauliane, c kuanza kupga story. N hayo 2 kwa leo.
 
kijana..uko chuo?! Au nursery maana mawazo yako yamekaaakaa kama mtoto anayevalishwa nepi? Embu toa mawazo yako ya kitetea
sibishani na wewe hata UE ,Supp na Carry over hujui...hahahahahahahaha...1st yr banaaaah daaaaah...peleka maharufu yako porini huko....
 
professional course ni 4 yrs minimum..sasa wewe upo 1st yr mbwembwe kibao...engineering vilaza kibao tu hat div 3.14 nk wamo kibao...acha mawazo ya kisua sua huko porini...alaaaah
naona umekurupuka usingizini....ivi unajitambua kweli?? wewe ni wa kiume au wa kike? jibu tuendelee...
 
sio tena wa kike bali ni jike hahahah !!
sijui nyie 1st yr mnamatatizo gani? ni hivi huyu mtoa mada amejitapa kwamba ana soma professional course..so kama yake inafall under 4yrs program imequalify kama ni less than that sio professional course..refer google ama dictionary for more clarification...kuhusu hao vilaza wa engineering refer to selection ya BSC textile..UDSM 2012\13 mana umeisifia kwamba ndo wako nondo..wanaosoma kozi hizo ujionee walio na cut off points 5, 4 wote wamo humo..baada ya hapo waweza jiuliza..uhusiano kati ya ukike na ukiume..daaaah 1st year bhana...daah sorry ni 4m1 ninyi..mtazoea tu...hahahaha
 
guys kwangu mimi niko CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI (NIT) nasoma logistics and transport management!!
things are not so much tough as long as nasoma kwa bidii sana!
 
guys kwangu mimi niko CHUO CHA TAIFA CHA USAFIRISHAJI (NIT) nasoma logistics and transport management!!
things are not so much tough as long as nasoma kwa bidii sana!

akhasante kaka..!! Umejibu vizuri achana na hawa viroboto wengne wanaojibu swali ndivyo sivyo
 
utoto una mambo yake nao!!!
Watu kama nyie ndiyo mnanifanya nisiingie humu
 
Nilitegemea watu wajibu kama wewe.sasa nikaona wanaanza kuipotosha.au walitaka kusikia kuwa mshkj anatoka kukamatwj ugoni ndio wachangie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…