Kwa Wale Kidato Cha Nne 2013 wanaosubiri form 5 post inawahusu.

Kwa Wale Kidato Cha Nne 2013 wanaosubiri form 5 post inawahusu.

Emma Piano

Member
Joined
Jun 9, 2014
Posts
31
Reaction score
6
Kwa wanafunzi wa kidato cha nne 2013 wanaosubiri kupangiwa nafasi za kujiunga na kidato cha tano ni kwamba post zitatangazwa rasmi tarehe 30 june, yaani mwezi huu kwa hyo kaeni mkao wa kula.
 
Kwa wanafunzi wa kidato cha nne 2013 wanaosubiri kupangiwa nafasi za kujiunga na kidato cha tano ni kwamba post zitatangazwa rasmi tarehe 30 june,yaani mwezi huu kwa hyo kaeni mkao wa kula...

Mulianza kupeleka tarehe mbele kama rimoti vile.
Mwanzo mliforward ila sasa hivi mnabofya next button!

Leo unajijibu ama ni baada ya kupata ufumbuzi? Weka chanzo cha Taarifa yako.
 
Tatizo ni hii Option ! New Post

kila mtu anataka aitumie !
Matokeo yake ndo post kama hizi !
 
taarifa hizi ni rasmi kutoka kwa mtu ambaye hakupenda jina lake litajwe ambaye ni mtumishi wa wizara husika.
 
taarifa hizi ni rasmi kutoka kwa mtu ambaye hakupenda jina lake litajwe ambaye ni mtumishi wa wizara husika.


We kama nani unaesema ivyo ?
Mwandishi wa habari au ?
Nenda kalale ukiota tena uje kufungua thread nyingine !
 
Mimi naomba hizo post zije baada ya World cup watuache kwanza tufurahi.
au mnasemaje wadau?
 
Back
Top Bottom