Kwa wale mlio maliza meta 2014

Wa Igima

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2014
Posts
376
Reaction score
110
kuna jitu lilikuwa lina itwa ibrahim halifa kwa mlio kuwa mnalifaham lili kuwa na itikadi kali ile mbaya,halikuwahi kuja shule,alikuwa ana kuja kunye siku za mitihani tu,bangi,sigara,pombe,ugomvi,vurugu aki kuazima kitabu ndo umempa.
na alikuwa ana soma pcb uta zan ana soma hkl,af et na ambiwa ame faulu, naombeni mnijuze wana meta hivi ni kweli au naota?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…