Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
Huu ni uzi wa watu mbalimbali tuliowahi kusoma shule hii kongwe inayopatikana katika kata ya TANDALE, wilaya ya KINONDONI, mkoa wa DAR ES SALAAM katika miaka tofauti tofauti ili tuweze kujuana na ikibidi tukumbukane pia.