Kwa wale mnao enda kusomea UALIMU,someni hapa.

acha kudhalau ualimu hicho unacholingia mwl ndo kakupa kufikia hapo asingekuwa yy hata taaluma ya JF usingekuwa nayo acha hizo
 
Nadhani ni Bora kupata kazi yenye changamoto ya mazingira kuliko kupata shahada halafu ukawa kijiweni Posta au Masaki au Pstby!
 

mkuu Chinga One ni kweli wewe ni mwl? Basi hapo kwenye red unakosea na unapotosha. Kazi yako inatakiwa u-facilitate learning kwasababu wale unao wafundsha sio makopo kwamba uwajaze kila kitu. Naomba ubadilishe hyo njia unayotumia kufundshia.
 
Last edited by a moderator:
mkuu Chinga One ni kweli wewe ni mwl? Basi hapo kwenye red unakosea na unapotosha. Kazi yako inatakiwa u-facilitate learning kwasababu wale unao wafundsha sio makopo kwamba uwajaze kila kitu. Naomba ubadilishe hyo njia unayotumia kufundshia.

Kaka,inavyoonesha huyu Chinga one ni mmoja kati ya walimu wenye uwezo mdogo sana kifikra,namashaka na uwezo wake katika kuchanganua mada darasani.
 
Last edited by a moderator:

wengine tunatafuta njia2 ya kupitia ili kufikia malengo ye2.
 
Hayo ni mawazo mgando,kama msomi huwezi kwepa changamoto,tumia elimu ulonayo kuzishinda.Nyie ndo walimu fake mnaotegemea mwisho wa mwezi

Mkuu nakuheshimu sana lakini hapa umeonyesha ujinga ulio tukuka,tatizo lako umefocus kwenye point moja ya maslah tu wakati nimegusia changamoto kibao kutokana na experience ya mazingira halisi haya hebu niambie nitatatua vp tatizo la network? nijenge mnara wa simu? nitatua vp distance ya makazi ya walimu na shule? natembea km 70 kwenda na kurudi 70 kwenda mjini kufatilia madai yangu halmashauri,na kwenda bank kupata huduma hebu niambie hapo ntatua usomi wangu vp kusolve hzo problems? acha upuuzi km hujui hali halisi kaa kimya sio unaongea kama shog.a.
 
Kaka,inavyoonesha huyu Chinga one ni mmoja kati ya walimu wenye uwezo mdogo sana kifikra,namashaka na uwezo wake katika kuchanganua mada darasani.

Unaongea mambo ambayo huyajui na huna experience nayo istoshe mimi sio wa kwanza kulalamikia changamoto sugu za ualimu ambazo nyingine zipo ndani ya uwezo wa serikali ila kwa makusudi hawataki kuzitatua,haya hebu onyesha wapi nina uwezo mdogo wa kuchanganua mambo?
 
Kaka,inavyoonesha huyu Chinga one ni mmoja kati ya walimu wenye uwezo mdogo sana kifikra,namashaka na uwezo wake katika kuchanganua mada darasani.

ndo hivyo, anakosea sana na mi nadhani anasema haya kuwakatisha tamaa wanaotarajia kusomea fani hyo.
 

1.Mambo ya mawasiliano na minara ya simu,hivi vitu vimeanza juzijuzi tu,kwa walimu wa zamani havikuwepo na sijui kama hiyo simu inakusaidia kuingiza kipato!

2.Kuna nyumba nyingi tu karibu na mazingira ya shule,tatizo mnataka nyumba high classic ndo maana hamtaki kukaa vijijini mnakimbilia kukaa mijini na kulalamika vituo vyenu vya kazi vipo mbali!

3.Sidhani kama madai unafatilia kila siku,isitoshe we ni mwl.uliyeajiriwa juzi juzi tu hapa na huna hela mwl.za kukufanya utafute huduma bank mara kwa mara.

4.Unaponitusi (shoga)hadharani inaonesha ni kiasi gani usivyokuwa na Ethics za Ualimu ,nakushukuru kwa sababu hiyo hainipunguzii hadhi yangu ya kike!

jipange mwalimu!!
 

Usifikiri changamoto wanazozipata Walimu wanazijua wao peke yao,hata tusio walimu tunafahamu changamoto mlizonazo na umuhimu wenu.Tumia fursa iliyo mbele yako kwanza.
Tupo tunaoitamani hata hiyo fursa ambayo wewe unaiona ndogo.
 

inatosha mama, embu punguza hasira kidogo. Mwl atakuchapa...
 
Hapo Medicine na Archtecture ndo mpango mzma kufuatiwa na Education lakin hizo zngine had soli za viatu zinaisha kutafuta ajira! Engineering bongo 'una akili ww' , law wapi wanasheria kibao wanakufa njaa kitaani huku, acounts kila chuo kinatoa nani ambae anataka kushona via2 kwa sababu kila mtu anaweza kuhesabu pesa na panapohitajika kuna wafanyakaz wa kutosha wenye certificate ambao salary yao yaweza kuwa laki 2 per manth
Badilikeni wadau' Tz unatoka kwa fani yeyote ilimradi uwe mpiganaji! BIG UP To You All .... Am the New1
 

Hapa kama sijakuelewa hivi.. Wataamuaje wakati walishapangwa kwenye vyuo? Mtu anaweza ku divert kozi muda huu!!
 
daima nitajivunia kuwa mwalimu! and "i have a dream" siku moja ualimu utaheshimika..si vyema kukatisha tamaa wenzako!
 
Mpe kubwa mshenzi huyo mwalimu kwamza hana adabu tena yawezekana huyo chatts55 alikuwa mwanafunzi wako alikuwatukutu shuleni tena mbumbumbu kabisa bado anaendelea na kushindana na wewe mwalimu hii cku hizi hakuna suspetion aende kukaa na wazazi wake hana adabu!
 
Ualimu Kwa Tanzania ni Tanisia ya Kusikitisha Sana...........Cha Kujiuliza Enzi Hizo Iliwezekana Vp? Hakuna Mbadala wa Elimu Tukitaka Kuondoka Hapa Tulipokwama........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…