Kwa wale mnao enda kusomea UALIMU,someni hapa.

Walimu,..walimu tunaumuhimu. Msihofu 2015 mkombozi wenu anakuja. Fanyeni chaguo sahihi.
 
ndugu zanguni watanzania tunasoma ili kupata maisha mazuri,kupata hayo maisha yanastahili mipango mizuri na kipato pia,kwakua watz wengi ni watoto wa mackini basi kipato huwa tunakipata baada ya kuwa employed na government kwani wengi wetu huchukua loan,my advice kazi yoyote ni akili na utashi wako utakufanya uendelee kimaisha,wako walimu wanaoish maisha mazuri kuliko hata baadhi ya wafanyakazi wa TRA!What matter ni jinsi gani unayaendesha maisha yako,mbona wengi wazazi wao walimu na wao leo wanakazi za maana wanasaidia wazazi wao je bila ualimu wa mzazi wao wangefika walipo leo?.Tambua kuna watu mtaani wanautamani mpaka huo ualimu mleta hoja anaousema hauna maana,naamin unamaana hata kwake ndio maana mpaka leo hii hajaacha kazi maana ungekua haumsaidii angeacha kazi hiyo,unasema kaz4 ngumu kuna watu wako private wanalipwa vizur ila mazingira ya kazi ni from Monday to Sunday na ruhusa ni likizo au ufiwe na baba au mama kwa ujumla inakutenganisha na famili yako,msikatae ndiko nilikotoka mimi na sasa naitafuta nafasi ya kua employed na serikali and this year na mimi naenda chuo,kama umepangiwa ualimu shukuru nenda kuna watu wana BBA na wengine wana degree ya procurement and supply mwaka wa 2 huu wanasaka ajira,wanafundisha temporary huku wakiendelea kuhangaika halafu unasema ualimu mbaya.Ingia kwenye system mengine baadae,si kila ushauri humu jf unafaa maana tunatoka kwenye family tofauti,jiangalie wewe na maisha yako na ur family too
 

Hapo,asiyekuelewa atakuwa ni kilaza.
 
Hapo,asiyekuelewa atakuwa ni kilaza.

thanks kwa kunielewa ndugu!serikalini raha hata ukiumwa miaka mitano salary inaingia private ukiumwa unaambia uache kazi urudi ukipona wao wanakupa mafao yako,that happen to my father alikua akifanya kazi ZAT ya zanzibar airport alipoumwa akatakiwa aache kazi,fikiri sasa unafamily ndani na wewe mgonjwa halafu kazi huna!!?serikalini kuzuri ndugu ukishaweka miradi ruksa acha serikalini.
 

mimi ni mwalimu,na huwa najipambanua hivyo,usiwatishe vijana,suala la stress unalitaka ww mwenyewe,nadhan ni kazi ambayo naifanya bila stress zozote zile,hakuna mahali ambapo serikali itamjali mtumishi,ila muhim ni kwwako wewe mwenyewe kujiletea mabadiliko,na isitoshe kama unahis fani hiyo si nzuri u can shift mdau,yaani ni ajabu mtu ana BACHELOR halafu analalamika,tena bachelor ya ualim,hivi vyuoni watu walisoma ualim tu???si kweli bhana Chinga One badili mtazamo mdau,ukiamini stress basi zitakufika,
hayo masuala ya vijijin na hakuna netweks au umeme,si kwa walim tu hata hao wanaoishi huko ulikowakuta,ualim wa sasa hauna stress labda upende,naongea as mwalim wa serikalini kama wewe nadhan
 
Last edited by a moderator:

i2thedi umeweka wazi kabisa mdau,
 
Last edited by a moderator:

kabisa mdau,na kazini hata ukae wiki hujaenda,hakuna tatizo litakalokukuta,jaribu kwenye sekta binafsi,,,,
ukitaka kuish kwa stress utaish,kuna maprofesa leo hii wanaish kwa stress,kuna mainjinia na madaktari wanaish kwa stress,,,,,,ni kujipanga tu na kucheza karata zako
 
Hayo ni mawazo mgando,kama msomi huwezi kwepa changamoto,tumia elimu ulonayo kuzishinda.Nyie ndo walimu fake mnaotegemea mwisho wa mwezi

Haya wewe mwalimu original ambaye hutegemei mwisho wa mwezi
 

nakwambia mdau kuna wadau wangu wana mwaka wa 3 huu bado wanasaka ajira,,,,,,,
 

tunataka watu kama wewe kumi tu vijana wote tutafanikiwa ndugu!eleza ukweli tena point nimeipenda unakuta mtu kwao vijijini halafu anapaponda,mjini unashindwa kuendelea huwezi ekeza lami!
 
Last edited by a moderator:
nakwambia mdau kuna wadau wangu wana mwaka wa 3 huu bado wanasaka ajira,,,,,,,

je yeye na mwenzie waliehitimu pamoja akaenda ualimu nani anamanufaa??tujikubali kwetu masikini kisha tafuta jinsi ya kupambana na maisha bila kutegemea utapata msaada wa ndugu,government ndio kila kitu iwe ualimu ,afya,kilimo etc
 

ndugu ukishindwa serikalini private usijaribu!ukichelewa hata dakika 10 unabarua ya onyo kali zikifika 3 kwenu ijekua usiende kabisa,nimefanya private kwa 5 years na sasa naenda chuo niingie kwenye system mengi nimekutana nayo ndugu
 
i2thedi umeweka wazi kabisa mdau,

nilikua ipp upande wa coca cola ndugu,ni miongoni mwa kampuni kubwa na zinazolipa vizuri hapa tanzania ila mwenyewe nimetundika daluga!si mchezo private mshahara wako na faida ya bosi yote inapatikana juu ya mgongo wako ndugu!
 
Last edited by a moderator:
Shahada ya Ualimu ina fursa nyingi ukiitumia sawia. Kosa ni pale mwalimu anapofikiri akiwa Headmaster basi kichwa kinakoma kufikiri. Mashirika mengi yanahitaji watu wenye background ya ualimu.

Soma ualimu kama mtaji. Kwa mazingira yalivyo hovyo sishauri kijana abaki shule akifundisha mpaka astaafu. Badala yake walimu watengeneze duara/mzunguko. Wanaoingia wakae miaka isiyozidi mitatu (if they are courageous enough) watafute pa kwenda. Wale wazito kaeni at least miaka mitano waruhusu waingie wengine. Nao miaka mitano waondoke. Duara.

Ni mpaka mazingira yatapokidhi taaluma.
 

hakika umeongea kwa facts,maelezo haya yanawafaa sana wanafunzi kuanzia primary adi f6,ambao wengi wao wamechanyweshwa sumu mbaya kuhusu ualimu,mbaya zaidi wanaishia kwenye fani ambazo zinawaletea zinawaletea matatizo,ndipo tena wanaanza kuukumbuka ualimu.
 
Thanks guys! nadhani jina Chinga one linareflect yeye ni mtu wa aina gani kwa mawazo yake ya vijiweni.Naamini atakuwa amejifunza kwa michango yenu.

Peace & Love Chinga 1
 
chatts55;Thanks guys! nadhani jina Chinga one linareflect yeye ni mtu wa aina gani kwa mawazo yake ya vijiweni.Naamini atakuwa amejifunza kwa michango yenu.

Peace & Love Chinga 1

....Ha ha ha ha Chatts55 we mkorofi sana mama eeh? after all mi naongelea fact sio hisia,msifikiri mambo ni marahisi kama mnavyo dhani au kua watu wako domant hawachukui hatua kukabiliana na hayo magumu ya ualimu laa,kwa anae elewa uhalisia atakubaliana na nilicho kiandika,mwezi wa july kulikua na nyuzi kibao kila mtu alikua anailaani serikali kwa nyongeza ndogo ya mshahara kwa walimu unajua kwa nini? hapo juu kuna uzi walimu kila leo wanatafuta wa kubadilishana nao vituo vya kazi unajua pia ni kwa nini? Chatts55 sibishani na mtu nilicho fanya nikutoa ushauri na "suggestions is not an order it can be accepted or rejected" I DO LIVE WITH MY WORDS UALIMU KWA TZ CHINI YA SERIKALI YA CCM NI FULL OF STRESS AND FRUSTRATIONS no body can change my mind.otherwise thanks for your encouragement to the teachers.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…