the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,907
hakika umeongea kwa facts,maelezo haya yanawafaa sana wanafunzi kuanzia primary adi f6,ambao wengi wao wamechanyweshwa sumu mbaya kuhusu ualimu,mbaya zaidi wanaishia kwenye fani ambazo zinawaletea zinawaletea matatizo,ndipo tena wanaanza kuukumbuka ualimu.
chatts55;Thanks guys! nadhani jina Chinga one linareflect yeye ni mtu wa aina gani kwa mawazo yake ya vijiweni.Naamini atakuwa amejifunza kwa michango yenu.
Peace & Love Chinga 1
....Ha ha ha ha Chatts55 we mkorofi sana mama eeh? after all mi naongelea fact sio hisia,msifikiri mambo ni marahisi kama mnavyo dhani au kua watu wako domant hawachukui hatua kukabiliana na hayo magumu ya ualimu laa,kwa anae elewa uhalisia atakubaliana na nilicho kiandika,mwezi wa july kulikua na nyuzi kibao kila mtu alikua anailaani serikali kwa nyongeza ndogo ya mshahara kwa walimu unajua kwa nini? hapo juu kuna uzi walimu kila leo wanatafuta wa kubadilishana nao vituo vya kazi unajua pia ni kwa nini? Chatts55 sibishani na mtu nilicho fanya nikutoa ushauri na "suggestions is not an order it can be accepted or rejected" I DO LIVE WITH MY WORDS UALIMU KWA TZ CHINI YA SERIKALI YA CCM NI FULL OF STRESS AND FRUSTRATIONS no body can change my mind.otherwise thanks for your encouragement to the teachers.
chatts55;Thanks guys! nadhani jina Chinga one linareflect yeye ni mtu wa aina gani kwa mawazo yake ya vijiweni.Naamini atakuwa amejifunza kwa michango yenu.
Peace & Love Chinga 1
....Ha ha ha ha Chatts55 we mkorofi sana mama eeh? after all mi naongelea fact sio hisia,msifikiri mambo ni marahisi kama mnavyo dhani au kua watu wako domant hawachukui hatua kukabiliana na hayo magumu ya ualimu laa,kwa anae elewa uhalisia atakubaliana na nilicho kiandika,mwezi wa july kulikua na nyuzi kibao kila mtu alikua anailaani serikali kwa nyongeza ndogo ya mshahara kwa walimu unajua kwa nini? hapo juu kuna uzi walimu kila leo wanatafuta wa kubadilishana nao vituo vya kazi unajua pia ni kwa nini? Chatts55 sibishani na mtu nilicho fanya nikutoa ushauri na "suggestions is not an order it can be accepted or rejected" I DO LIVE WITH MY WORDS UALIMU KWA TZ CHINI YA SERIKALI YA CCM NI FULL OF STRESS AND FRUSTRATIONS no body can change my mind.otherwise thanks for your encouragement to the teachers.
Kozi za ukweli ,zenye heshima ni 5 tu ambazo ni 1.engineering 2.medicine 3.law 4.architecture 5.accounting&finance
sina nia ya kupingana na mtu lakini tatizo la wengi tunaongea kwa kuhisi( na sio uhalisia wa mambo yalivyo
Mhm!me napita tu,walimu nawaheshmu sana lakini nawachukia sana kwa tabia yenu ya uoga na unafiki..hamna tofauti na mapolisi,mnadhani hyo kazi mmepewa kwa huruma za serikali..fungueni hzo akili zenu na mpiganie haki zenu,msiridhke na hzo gongo mnazopewa bure huko vijijini.shauri zenu lakini.
ndugu hatukatai hayo usemayo ila tambua kila kazi inastress zake siku zote kazi ya mwenzio ndio nzuri sababu hujui siri ya mtungi ila yeye kata anayajua kama wewe unavyoyajua ya ualimu,heri wewe mwenye mshahara mdogo na uhuru wa kazi pamoja na uhakika wa kazi pia,mara ngapi watumishi wanafukuzwa kazi kwa uzembe wa wengne eg police wa airport juzi.?kuna mwalimu ushasikia akifukuzwa kazi kizembe?hiyo ndiyo tunaita job security ndugu,shukuru hapo ulipo badili maisha unayoishi utafanikiwa
Mkuu level ya digrii hakuna anaesomea ualimu,wanaosomea ualimu ni certificate na diploma! Its not necessary kuwa mwalimu eti kwa sababu ulisoma Ba.Ed au Bed...kua hapo wewe ultaka mwenyewe!But nevertheless USHAURI MZURI
muangalie alivyo mjinga kubali kabisa degree ya education ni dhaifu huwezi kufananisha na law,engineering,medicine, , wakili v/s mwalimu, engineer v/s mwalimu,doctor v/s mwalimu ,, mwalimu wa degree 589,000/ , doctor wa degree 1,200,000/, engineer mwenye degree 1,100,000,Hebu toa ujinga wako wewe. Sometimes kama huna cha kuchangia ni bora tu ukapita kama nlivyokua nataka kufanya ila kwa upuuz wako imenibd tu kuchangia kwenye ujinga uliocomment.
Na naomba utambue kua hili ni Jf "home of great thinkers" na sio fesibuku wanakoshindana kwa kupost na kucomment...
Humu watu wanaleta nyuzi kuleta&kufuata ushaur juu ya mambo ya msingi na sio ujinga,upuuz na kejeli kama hizi za kwako.
JITATHMINI NA TAMBUA UWEPO WAKO KATIKA JAMII YAKO NA TAMBUA SIKU ZOTE DEGREE YENYE HESHIMA NI ILE UTAKAYOAPPLY KTK JAMII YAKO NA JAMII IKATAMBUA UMUHIMU WA UWEPO WAKO NA MWISHOWE IKAKUHESHIMU.
*****OVER****
nilikua ipp upande wa coca cola ndugu,ni miongoni mwa kampuni kubwa na zinazolipa vizuri hapa tanzania ila mwenyewe nimetundika daluga!si mchezo private mshahara wako na faida ya bosi yote inapatikana juu ya mgongo wako ndugu!
Habari,
Naam,ndugu zangu mnaoenda kusomea ualimu jueni ya kua nyie ni watu muhimu kwa taifa hili kwa kua in the near future ndio mtakao kuja ku impart knowledge and skills kwa watoto wa kitanzania kama tunavyo fanya sisi walimu tulio watangulia.
Usifurahie tu kwa sasa kupata post ya chuo yakupasa utambue ukisha maliza masomo utapata ajira kwa urahisi sana ya ualimu,kila kazi ina changamoto zake,lakini changamoto za ualimu ni nyingi na zinakatisha tamaa kama hauna uvumilivu waweza ishia njiani,mishahara midogo sana,mazingira magumu ya kufanyia kazi,umbali wa makazi ya walimu na shule,uhaba wa huduma za kijamii huku vijijini mfn umeme,maji,afya,networks,banks n.k, kama una ndoto za kuishi maisha ya kifahari futa kabisa hiyo mentality, ualimu ni full of stress and frustrations kwa wote wa mjini na vijijini.serikali haijari kabisa na haina mpango wa kuboresha maisha ya mwalimu.
Ni bora ukatafakari mara mbili mbili kabla ya kwenda kuanza masomo.sisi kaka/dada zenu tunahisi kama tulipotea njia.
Chinga 1.
Mkuu naweza nisikubaliane nawe kwa hoja nyinginezo ulizoziainisha katika bandiko lako ila kwenye uhuru wa kazi nakubaliana na wewe kwa asilimia zipatazo mia. Mwalimu akiutumia vizuri uhuru wake, anatoka. Tatizo kubwa walimu wanajikuta wakitumia muda mwingi kuilalamikia serikali wasijue hiyo haibadilishi hata nukta ya kero zinazowakabili.
Kuhusu security tunaweza kutofautiana. I would rather go for calculated risks badala ya security inayolemaza.
Mie ningewashauri walimu wasiridhike na chaki. Piga chaki for some years hali ukiangaza macho unless umeamua kuyatoa maisha yako kulitumikia taifa linalotafunwa na wajanja.
kozi za ukweli ,zenye heshima ni 5 tu ambazo ni 1.engineering 2.medicine 3.law 4.architecture 5.accounting&finance
samaki ni samaki tu dagaa,wenye magamba,wenye mapezi,wenye mkia mrefu,mfupi......kama si mwalimu mbona anafundisha kwani kila mtu hapendi kufanya research?Mkuu Dreadnought,
Ni kweli shahada ya Elimu haimfanyi mlengwa kuwa mwalimu zaidi kuliko kumtengeneza kuwa mtaalam katika eneo fulani.
Anayesoma BSc.Ed kwa mfano, anatumia muda mwingi kuwa scientist kuliko kuwa mwalimu. Kwa hiyo anaweza kuwa mtafiti na akafanya kazi nyingine kabisa.
Hali kadhalika wa BA.Ed ambaye hujikita katika sayansi ya jamii.
Yule wa B.Ed naye huandaliwa kuwa Educationist/mtaalam wa Elimu. Wengi wao huenda kufundisha vyuo vya ualimu lakini kimsingi hawa ni waelewa wa fani ya Ualimu kuliko walivyo walimu.
Kwa hiyo utaona mwalimu wa shahada si mwalimu. Kimsingi ni mtu mwingine anayeweza kufundisha pia.