TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Kijana kama unataka kuanza biashara ili uweze kufika pale unataka hakikisha mambo haya una yazingatia
1.Panga chumba ama jengo la biashara kwa mtu ambaye ni muelwa hii itakusaidia kipindi ukikwama kodi.
2.Kuwa muwazi kwa baadhi ya mambo kwa mmiliki wako wa jengo hili litakusaidia kukuvumilia .
3.Kama umechukua mkopo hakikisha biashara uliyoichukulia mkopo ndio inafanya rejesho.
4.Jenga uhusiano mzuri na maafisa mikopo hii itakusaidia kukupunguzia pressure kipindi unapokwama kufanya rejesho.
5.Kamwe usijenge hofu dhidi ya wadai wako na wala usijenge mazoea yakuwadanganya pindi unapokwama.
6.Toa taarifa mapema endapo utashindwa kufanya rejesho.
7.usifanye maamuzi kwa haraka kwa sababu ya changamoto.
1.Panga chumba ama jengo la biashara kwa mtu ambaye ni muelwa hii itakusaidia kipindi ukikwama kodi.
2.Kuwa muwazi kwa baadhi ya mambo kwa mmiliki wako wa jengo hili litakusaidia kukuvumilia .
3.Kama umechukua mkopo hakikisha biashara uliyoichukulia mkopo ndio inafanya rejesho.
4.Jenga uhusiano mzuri na maafisa mikopo hii itakusaidia kukupunguzia pressure kipindi unapokwama kufanya rejesho.
5.Kamwe usijenge hofu dhidi ya wadai wako na wala usijenge mazoea yakuwadanganya pindi unapokwama.
6.Toa taarifa mapema endapo utashindwa kufanya rejesho.
7.usifanye maamuzi kwa haraka kwa sababu ya changamoto.