Kwa wale mnaojioona warembo kumbe...

Mama Sabrina

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
16,620
Reaction score
27,589
Mkiwa kwenye nyuma ya keyboard mnajiona wazuri kiuhalisia sasa nafwaaa
 
Wanawake nakubali nyie ni wazuri tena wote mko poa sana yaani uzuri wenu hata nyani hafikii lakini huo uzuri wenu ni nje tu ila mnakera na hiyo miharufu yenu ukivua tu lazima mwanaume ajiulize kama kuna panya kafia tumboni mwako kiasi fulani nyie ni wazuri hakuna kama nyie bana.

Tena ukute mmetembea kilomita mbili na jasho lenu lile afu mmvue yaani mnakuwa wazuri sana.
 
Uzuri nini kwani tuanzie hapo
Nyie ndio mnasababisha watu wanajibadilisha ( botched + kujichubua) halafu mwaja kuwakandia
 
Kweli wanaume tumebakia wachache, Mungu alimuumba Adam na akaona yu mpweke akamtafutia msaidizi ambaye ni Hawa. Wanawake ni sehemu ndani ya mwili wetu ni wasaidizi na sisi wanaume ni kichwa cha familia. Mwanaume simama katika nafasi yako. Ni aibu mwanaume kuongea maneno ya kudhalilisha wanawake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…