Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii haina tofauti na mabinti wanaotamani kuolewa.... huwaambii kitu kuhusu changamoto za ndoa. Watakwambia kila mtu na nyota yake wacha namimi niolewe ikinishinda naachika ila ndoa naitaka eehehehehe.
It's an endless cycle, kuna wanaoingia kila leo na kuna wanaotoka kila leo na kuna wanaofia humohumo na wachache kati yao wanaoiishi hiyo cycle kama paradiso. Nikimaanisha NDOA na Kuishi ULAYA/MAREKANI.
Sounds like trading losers newbies amateur