Kwa Wale Munaotaka kuishi Marekani mujpange

Hii haina tofauti na mabinti wanaotamani kuolewa.... huwaambii kitu kuhusu changamoto za ndoa. Watakwambia kila mtu na nyota yake wacha namimi niolewe ikinishinda naachika ila ndoa naitaka eehehehehe.

It's an endless cycle, kuna wanaoingia kila leo na kuna wanaotoka kila leo na kuna wanaofia humohumo na wachache kati yao wanaoiishi hiyo cycle kama paradiso. Nikimaanisha NDOA na Kuishi ULAYA/MAREKANI.
 
Sounds like trading losers newbies amateur
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…