Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulinganisha au kushindanisha PHP na Python kwenye kazi moja ni makosa.Siku hizi nasikia wengine wanaisifia Python na kuiponda PHP. Shida nini?
You're not serious bro, kuwa na muda wa kupumzika na pangilia namna unavyosoma kwamba unaanzia wapi kwenda wapi na muda upi utamaliza unavyosoma.Sijui kwanini siku hizi nikianza kuangalia video za programming nasinzia fasta.