Sijui kwanini siku hizi nikianza kuangalia video za programming nasinzia fasta.
You're not serious bro, kuwa na muda wa kupumzika na pangilia namna unavyosoma kwamba unaanzia wapi kwenda wapi na muda upi utamaliza unavyosoma.
Kuna aina mbili za kusoma programming lakini kabla ya yote uwe na research ya kipi utasoma na kwanini.
1.up and running- Hii inachosha ukiwa mzembe kusoma huku unafanya, kwa mtu asiye na uzoefu atleast two pl ni ngumu kuitumia hii njia, mara nyingi inapendeza ukiwa na computer mbili.
2.Read, note and practice.
Hii inaeleweka zaidi ijaribu, hii ukiwa na hardcopy books ni nzuri sana ila si lazima maana softcopy zinachosha macho sana .
Mimi hutumia vitabu na pamplets za programming nimetumia njia hii na niko vizuri.
Hii up and running natumia mara chache sana.
Jaribu kuwa na ratiba nzuri usingizi utausahau