Kuna Watu
wanakuja katika
maisha yetu baadae
huondoka
Kuna Watu wanakuwa
marafiki zetu kwa muda tu
baadae hutoweka
Kuna Watu
wanakuja katika
maisha yetu baadae
huondokahuku wakiacha Oooo
makovu kwenye
nyoyo zetu
na wote hatupo
sawasawa katika
kufaulu kupata marafiki
wazuri !!!
Ya Jana ni Historia.
Ya Kesho ni Miujiza
Ya Leo ni Zawadi kutoka kwa Mungu.
Tunapaswa kushukuru kwa zawadi hii pekee
Sijaachwa smile nimependa tu kusema Amina manake huo ubeti wa mwisho umenigusa kiroho!umeachwa na nyani ngabu?
Inajalisha, maana kuachwa na boyfriend sio sawa na kuachwa na mume. Boyfriend you can make a substitution, but not a husband in most african societies-unakuwa umeshakuwa na doa-kuachwa ni kuachwa haijalishi niliachwa na nani?
oke nilikuwa sijaelewa swali lakoInajalisha, maana kuachwa na boyfriend sio sawa na kuachwa na mume. Boyfriend you can make a substitution, but not a husband in most african societies-unakuwa umeshakuwa na doa-
Ushaaachia makovu wangapi mpaka sasa?Hallelujah.....
(just in case nikiachwa na mtu chake...)
oke nilikuwa sijaelewa swali lako
status ilikuwa boyfriend.a.k.a mpenzi
Ushaaachia makovu wangapi mpaka sasa?
Duh basi unaweza ukawa malaika wewe? hata shule ya msingi hujawai mpiga mtu kibuti? akabaki na maumivu?nashukuru kwa swali lako zuri.....
ki ufupi sijaacha kovu sehemu yoyote ile....ni jambo la kujivunia sana.....