Hayo mbona ni kawaida sana?
Ila mie namshukuru Mungu kwani sijawahi kumpatia mtu hazina yangu yote..Akiwa na bahati kama ya Bibi DC anaambulia 60-80%!!! Huko nyuma nilikuwa najitahidi sana kuegesha na ilinisaidia kwa kiasi kikubwa.
Kama nilivyosema huko nyuma..ni hatari kuwekeza kiasi kikubwa kwa mtu hata akiwa mume au mke...!!
Babu DC!!
kuachwa ni kuachwa tu,haijalishi umeachwa na nani!!Inajalisha, maana kuachwa na boyfriend sio sawa na kuachwa na mume. Boyfriend you can make a substitution, but not a husband in most african societies-unakuwa umeshakuwa na doa-
Sikuona Koku,
Kwanza hongera sana.....na pili, issue yako sasa iko juu zaidi. Ni tofauti na kuachana tunakozungumzia!
Nitakutafuta unitumie walu picha ya katoto kazuri ka mjukuu wangu!
But one thing...Kadri utakavyozidi kuizoea hadhi ya kuwa mama na kujenga bond zaidi na mtoto...I am sure story itakuwa tofauti kabisa. Ipo siku anaweza kuanza kulalamika kuwa anahitaji muda wa kuwa na mtoto wake!
Take care,
Babu DC!!
hujawai kuachwa wewe?Kwa walioachwa.. Learn to forgive and forget.. Then move on... Huyo mtu hakuwepo kwenye maisha yako kabla, akatokea na kuleta impact kwenye maisha yako, and probably ilikuwa ni muda muafaka wa yeye kuondoka.. Who knows what the future holds..
Kwa walioachwa.. Learn to forgive and forget.. Then move on... Huyo mtu hakuwepo kwenye maisha yako kabla, akatokea na kuleta impact kwenye maisha yako, and probably ilikuwa ni muda muafaka wa yeye kuondoka.. Who knows what the future holds..
Kwa walioachwa.. Learn to forgive and forget.. Then move on... Huyo mtu hakuwepo kwenye maisha yako kabla, akatokea na kuleta impact kwenye maisha yako, and probably ilikuwa ni muda muafaka wa yeye kuondoka.. Who knows what the future holds..
hujawai kuachwa wewe?
Nakubaliana na wewe Amyner,
Mtazamo kama huo ulinisaidia sana. Kinachonishangaza ni jinsi ambavyo sasa hivi anajidai kuwa anataka tuwe marafiki uzeeni!!
Babu DC!!
Kusema na kushauri ni rahisi sana ila utekelezaji ni mgumu!!mimi nimeacha hivi juzi na huyo demu kaposwa!!
Si umemuacha mwenyewe? Kuna wengine hawapotezi opportunity.. Alipogundua umemuacha akamuwahi fasta! Cha msingi ni kuombeana mema.
mambo Amyner? Nimekumiss....za masiku?
Mi mzima kabisa kaizer.. Nimekumiss ile mbaya..i hope memo alikupa salam zangu..