R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,178
Inaweza kutokea umeibiwa, umepata ushindani mkali, sheria za serikali zimeathiri unachofanya, umechezewa michezo michafu, umeumwa, n.k.
Ukiwa na mshahara angalau unaweza kuugulia kwa wiki kadhaa mshahara ulioisha lakini una uhakika mwezi ujao upo hivyo ni wewe kujitafakari tu jinsi ya kula kwa urefu wa kamba yako, huku kwengine ni kutamu zaidi lakini pia kuna machungu makali sana asikwambie mtu, yani mziki wa kujikusanya kurudi upya baada ya kufeli ukiuweza, jijue umepata ukomavu na beji umeongeza begani ya upambanaji.
Ulifanikiwa vipi kubounce back / Kurudi upya ?
Ukiwa na mshahara angalau unaweza kuugulia kwa wiki kadhaa mshahara ulioisha lakini una uhakika mwezi ujao upo hivyo ni wewe kujitafakari tu jinsi ya kula kwa urefu wa kamba yako, huku kwengine ni kutamu zaidi lakini pia kuna machungu makali sana asikwambie mtu, yani mziki wa kujikusanya kurudi upya baada ya kufeli ukiuweza, jijue umepata ukomavu na beji umeongeza begani ya upambanaji.
Ulifanikiwa vipi kubounce back / Kurudi upya ?