Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Habari zenu wadau wa JF. Poleni na majukumu.
Niende madani.
Hakuna kazi yenye ugumu na mitego mingi kama ualimu wa secondary na hata vyuo.
Mimi nakumbuka enzi za secondary kwa uzuri wangu nilivyofanikiwa kumtega mwalimu wangu niliyemzimia hadi akaingia kona zangu na kunilala.
Nilifurahi sana na ikawa ndyo mchezo wetu hadi nilipomaliza shule. Nilidumu naye mwaka mmoja tu kwani nilianza naye nikiwa kidato cha nne.
Namkumbuka sana huyu ticha ila ndyo hivyo sina mawasiliano naye tena na hata Sina mpango naye tena.
Nipo na maisha yangu sasa na naona ile ilikuwa foolish age yaani umri wa kipumbavu. Je mwanamke au binti mwenzangu ulipitia hayo ya kuwatega walimu matozi na watanashati?
Tiririka bila kutaja shule wala jina la mwalimu. Kama haikuhusu tupitie mbaaaaali ukiwa kimyaaaaaaaahh.
Niende madani.
Hakuna kazi yenye ugumu na mitego mingi kama ualimu wa secondary na hata vyuo.
Mimi nakumbuka enzi za secondary kwa uzuri wangu nilivyofanikiwa kumtega mwalimu wangu niliyemzimia hadi akaingia kona zangu na kunilala.
Nilifurahi sana na ikawa ndyo mchezo wetu hadi nilipomaliza shule. Nilidumu naye mwaka mmoja tu kwani nilianza naye nikiwa kidato cha nne.
Namkumbuka sana huyu ticha ila ndyo hivyo sina mawasiliano naye tena na hata Sina mpango naye tena.
Nipo na maisha yangu sasa na naona ile ilikuwa foolish age yaani umri wa kipumbavu. Je mwanamke au binti mwenzangu ulipitia hayo ya kuwatega walimu matozi na watanashati?
Tiririka bila kutaja shule wala jina la mwalimu. Kama haikuhusu tupitie mbaaaaali ukiwa kimyaaaaaaaahh.