Adolph Jr
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 5,950
- 9,511
Habari wanajukwaa,
Tukutane hapa wale wote tunaopatikana Mikoa inayozunguka Ziwa Victoria ikiwemo mikoa hii :-
1:- Mara
2:- Mwanza
3:- Kagera
4:- Shinyanga
5:- Geita
6:- Simiyu
Ongeza.....
Makabila kama vile
1:- Wakurya
2:- Wajita -Wakerewe
3:- Wahaya
4:- Wasukuma
5:- Wajaluo
6:- Wanatta
7:- Wazanaki
8:- Waikizu
9:- Waissenye
Ongeza......
Tujadiliane kuhusu :-
1:- Changamoto za kimaisha
2:- Mahusiano mema
3:- Mila na desturi zetu
4:- Nguvu na uimara wa tamaduni zetu
5:- Matukio ya kila siku
6:- Jamii zetu kiujumla
7:-
Ongezea.....
KARIBUNI SANA WANA MISIMAMO
ONYO :- Matusi na kashfa ni mwiko hapa,
Mgeni Ruhusa kuuliza/ Kuchangia.
Tukutane hapa wale wote tunaopatikana Mikoa inayozunguka Ziwa Victoria ikiwemo mikoa hii :-
1:- Mara
2:- Mwanza
3:- Kagera
4:- Shinyanga
5:- Geita
6:- Simiyu
Ongeza.....
Makabila kama vile
1:- Wakurya
2:- Wajita -Wakerewe
3:- Wahaya
4:- Wasukuma
5:- Wajaluo
6:- Wanatta
7:- Wazanaki
8:- Waikizu
9:- Waissenye
Ongeza......
Tujadiliane kuhusu :-
1:- Changamoto za kimaisha
2:- Mahusiano mema
3:- Mila na desturi zetu
4:- Nguvu na uimara wa tamaduni zetu
5:- Matukio ya kila siku
6:- Jamii zetu kiujumla
7:-
Ongezea.....
KARIBUNI SANA WANA MISIMAMO
ONYO :- Matusi na kashfa ni mwiko hapa,
Mgeni Ruhusa kuuliza/ Kuchangia.