Kwa wale tunaoishi kanda ya Ziwa, Tufahamiane Hapa.

Ina maana Wewe mikoa ya Geita na Simiyu hukuindika kwa kuwa wino umeisha au??
 
Sangara wamepungua sana ziwa Victoria, nasikia kuna visiwa vimefungwa kabisa hairuhusiwi kuvua ni kweli..?
 
Hali ikiendelea hivi huenda baadhi ya viwanda vya samaki vikafungwa na hivyo kusababisha maelfu ya vijana kupoteza ajira zao
viwanda on air awamu hii ya tano nahis si viwanda bali factories
 

Mnaleta ukabila na ukanda hapa. Mnataka kujuana ili mfanye matambiko?
 
Hali ikiendelea hivi huenda baadhi ya viwanda vya samaki vikafungwa na hivyo kusababisha maelfu ya vijana kupoteza ajira zao
Daaah yaani navionea huruma ..mfano kile cha Makoko (Musoma) na kile cha pale mjini hivyi sasa hawachukui wafanyakazi kama awali....
 
Mnaleta ukabila na ukanda hapa. Mnataka kujuana ili mfanye matambiko?
Msemo wa J.k huo....ila hakuna Shida bado kuna watu wanaamini matambiko hivyo usihofu...Karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…