Are you 100000000000% hujawaji kuwa na mume wa mtu?
Uzoefu unaonyesha mabinti wengi sana wanapenda kutembea na waume za watu, aidha sababu ya maslahi ama wakati mwengine kunakuwa na mapenzi ya kweli. Yani you happen to fall in love with somebody's husband. Mimi ni mdau pia ninae mume wa mtu.
Ila kuna kitu kimoja huwa kinauma sana wakati uko sasa na mpenzi wako (Mume wa mtu) ana anza mashauzi mara aaa
1. Jana nilienda na mama dinner
2. Mara jana nilivyokuwa home sijui wife kasema hivi
3. Mara sijui ngoja wife ananipigia
4. Mara sijui wife kasafiri
Acheni kupiga story za wake zenu kwani wakati unakuja kwangu hukujuwa kama una mke. Mkomeeeeeeeeeeeeeeeeee.
Uzoefu unaonyesha mabinti wengi sana wanapenda kutembea na waume za watu, aidha sababu ya maslahi ama wakati mwengine kunakuwa na mapenzi ya kweli. Yani you happen to fall in love with somebody's husband. Mimi ni mdau pia ninae mume wa mtu.
Ila kuna kitu kimoja huwa kinauma sana wakati uko sasa na mpenzi wako (Mume wa mtu) ana anza mashauzi mara aaa
1. Jana nilienda na mama dinner
2. Mara jana nilivyokuwa home sijui wife kasema hivi
3. Mara sijui ngoja wife ananipigia
4. Mara sijui wife kasafiri
Acheni kupiga story za wake zenu kwani wakati unakuja kwangu hukujuwa kama una mke. Mkomeeeeeeeeeeeeeeeeee.
Usijali, waweza tu kuniswalika!!! :eyebrows:Nina swali
Tafuta wako bwana, kwanza ni lazima uwe na mume wa mtu????
Hivi unajisikiaje kuwa na mume wa mtu, halafu mnafanya mapenzi kwa kujiiba iba???
Mungu aniepushe kwa hili!
Wote wawili mkome. Wewe: kuchukia mwanamke mwenzio kupendwa na mumewe (anaekupenda atakutaja taja hasa kwa mazuri).
Yeye: akome kutothamini uwepo wako na kumwaza mkewe. Ila wewe ndio ukome zaidi ujue.
How sad is that. . . .
We unaringishiwa aliyofanya na mkewe wakati mkewe hata hajui kuna mtu anaitwa NE hapa duniani. Utalamba na kusafisha vyombo vya watu mpaka lini? have some self respect and find your own.
Uzoefu unaonyesha mabinti wengi sana wanapenda kutembea na waume za watu, aidha sababu ya maslahi ama wakati mwengine kunakuwa na mapenzi ya kweli. Yani you happen to fall in love with somebody's husband. Mimi ni mdau pia ninae mume wa mtu.
Ila kuna kitu kimoja huwa kinauma sana wakati uko sasa na mpenzi wako (Mume wa mtu) ana anza mashauzi mara aaa
1. Jana nilienda na mama dinner
2. Mara jana nilivyokuwa home sijui wife kasema hivi
3. Mara sijui ngoja wife ananipigia
4. Mara sijui wife kasafiri
Acheni kupiga story za wake zenu kwani wakati unakuja kwangu hukujuwa kama una mke. Mkomeeeeeeeeeeeeeeeeee.
Shida ya wanawake dizani yenu hamtaki wanaume wa kawaida na ndiyo maana mnadandia wanaume za watu kwa mantiki ya kuwatekelezea mnayoyataka ikiwemo kuwanunulia magari, kuwapa mitaji mikubwa mikubwa na mambo mengine mengi.Liz ndio niko kwenye harakati za kutafuta wakwangu sasa na busy na huyu wa mtu kwanza
Napita tu ( kumbe tunasifiwa mpaka nje. lol. nilidhani twasifiwa ndani tu)
baada ya kumponda sana huyu NE, hivi hizi sheria za infidelity au nyumba ndogo mwazitumia na akina nani?
Wadada tusiwe wanafiki, naamini si NE pekee aliyegonga mme wa mtu.
Wakaka wakipeana hints tunachekelea kama mashujaa NE anatupa uzoefu tunamsulubu.NE usijali wwape ukweli wao, kama yy ni mme wa mtu na ww ni mtoto wa mtu. Kwa hiyo wote ni wa watu.