Kwa wale tusio na couple JF tuwe watulivu, ipo siku tu

Kwa wale tusio na couple JF tuwe watulivu, ipo siku tu

Stephen Ngalya Chelu

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2017
Posts
8,252
Reaction score
18,335
Siku hizi kamtindo ka kuonyeshana wazi mahusiano humu jf (aidha ya kweli au utani) kinazidi kupamba moto. Basi na nami kwa kuwawakilisha wale ambao kwa namna moja ama nyingine hutamani na wao wawe wamoja watakaokuwa wakitamba na couple humu jf, napenda kuwaambia tu tuwe watulivu, siku yetu ya kutamba inakuja.
 
[emoji445] Ipo siku yangu tu, Ipo Siku, siku Ipo siku yangu tu Nami nibarikiwe, nibarikiwe niba, niba, nibarikiwe

Ingawa sipati na ni kwa muda mrefu woyoyooooooo

Maumivu ya kudharauliwa, umasikini Ni kila siku, ninajipa moyo Ipo siku yangu tu, Ipo Siku, siku Ipo siku yangu tu Nami nibarikiwe, nibarikiwe niba, niba, nibarikiwe
 
[emoji445] Ipo siku yangu tu, Ipo Siku, siku Ipo siku yangu tu Nami nibarikiwe, nibarikiwe niba, niba, nibarikiwe

Ingawa sipati na ni kwa muda mrefu woyoyooooooo

Maumivu ya kudharauliwa, umasikini Ni kila siku, ninajipa moyo Ipo siku yangu tu, Ipo Siku, siku Ipo siku yangu tu Nami nibarikiwe, nibarikiwe niba, niba, nibarikiwe
ipo siku nitauimba huu wimbo ukiwa umebeba uhalisia wake katika maisha yangu humu jeiefu
 
Back
Top Bottom