Wewe tena..tehBasi ngoja nami nijaribu bahati yangu sheikh... maana nina kafoleni ka mabebi hapa...
poleHua nikiona watu wanabebishana humu JF wivu unanishika hadi natamani kuwatimulia vumbi asee. Namm jamani natakaa....
Sitaki wengi mkuu....nataka mmoja tu wa kutesa nae jeiefu...kama the bold na niffahKipindi hiyo utaanza kujiita KING MSWATI JR!!
Ila vina umuhimu.Kuna vitu havinaga ulazima
LabdaIla vina umuhimu.
Upo kama mimi aiseee.....huwa napatwa na wivu hatari...Hua nikiona watu wanabebishana humu JF wivu unanishika hadi natamani kuwatimulia vumbi asee. Namm jamani natakaa....
HahahahahahhahahaaHua nikiona watu wanabebishana humu JF wivu unanishika hadi natamani kuwatimulia vumbi asee. Namm jamani natakaa....
B bade naomba msaada wako..Alaaa Kumbe!
B bade naomba msaada wako..
Wa kapo si unajua vile niko singo hadi kunguni hazinitak..Nikusaidiaje?
Wa kapo si unajua vile niko singo hadi kunguni hazinitak..
fungua PMNikusaidiaje?
Noma sanahahhahaah alafu ya uni ndo yananoga!mnaongozana km kumbi2
Kumbe imefungwa?fungua PM
ndioKumbe imefungwa?
cc: mumufungua PM