Kwa wale wa Arusha tuonane hapa Picnic tucheki UEFA

Kwa wale wa Arusha tuonane hapa Picnic tucheki UEFA

Tunzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
4,082
Reaction score
2,402
Leo kuna fainali ya UEFA EUROP nipo hapa jijini Arusha kwa mapumziko mafupi kesho narudi jiji la madereva... Kama kuna mkuu yoyote yupo hapa mjini kati maeneo ya Picnic aje tuchek wote gem ya Liverpool vs Sevila ila awe makini na hapo nje mitaa ya SHIVAS CLUB kuna totoz za kufa mtu kama kona bar vile kipindi cha nyuma.. Karibuni wakuu
 
Duh, kwa mgeni waweza usione Tabu kusema upo picnic Ila dah kwa wenyeji hapo hapana aisee! Kila la kheri
 
kwanza ukitaka kuuingia hicho kijia cha kuingia hiyo mitaa ukitoka stand ya sakina lazima uangalie usije ukaonekana kwa anayekujua
 
Picnic tena! ........,..sorry yangu isije ikan'golewa side mirror, au ikakwanguliwa Na hao Malaya wa shivaz! (Mbona unaangalizia vichochoroni mkuu?
 
Njoo tuangalie game mount meru hotel acha kukaa vichochoroni huko utakabwa bure
Mkuu huko tumeshakaa sana sio lazima kukariri kujichanganya muhimu nataka niwe na vingi vya kusimulia, kama ningekua nakaa huko tu huku ningejua lini
 
Njoo tuangalie game mount meru hotel acha kukaa vichochoroni huko utakabwa bure
Mkuu huko tumeshakaa sana sio lazima kukariri kujichanganya muhimu nataka niwe na vingi vya kusimulia, kama ningekua nakaa huko tu huku ningejua lini
 
Mkuu huko tumeshakaa sana sio lazima kukariri kujichanganya muhimu nataka niwe na vingi vya kusimulia, kama ningekua nakaa huko tu huku ningejua lini
Kama ukipata vya kusimulia uje unisimulie ila huko kamwe siji. Ila usisahau kwenda kwa mromboo kwaajili ya mbuzi.
 
Back
Top Bottom