Kwa wale wa chuo cha kodi (ita) dar es salaam soma hapa!

Kwa wale wa chuo cha kodi (ita) dar es salaam soma hapa!

Joined
Jun 2, 2012
Posts
48
Reaction score
6
Kwa yoyote aliye chaguliwa chuo cha kndi Dar ita naomba tutafutane mimi ninashida ya hostel sijui zinatosha au nianze mchakato wa kusearch room Mikocheni B.Tafadhari mwenye kujua au anayepiga pale anijulishe.
 
sasa mkutane ili iweje? Jifunze jinsi ya kujieleza

Sawa mkuu! lakini naomba utumie busara kumshauri mtu tusije tukafanya jukwa kuwa fb nafikiri umenielewa kwenye maelezo yangu kwenye post kama inakuhusu unaweza kuchangia.
 
Back
Top Bottom