Kwa yoyote aliye chaguliwa chuo cha kndi Dar ita naomba tutafutane mimi ninashida ya hostel sijui zinatosha au nianze mchakato wa kusearch room Mikocheni B.Tafadhari mwenye kujua au anayepiga pale anijulishe.
Sawa mkuu! lakini naomba utumie busara kumshauri mtu tusije tukafanya jukwa kuwa fb nafikiri umenielewa kwenye maelezo yangu kwenye post kama inakuhusu unaweza kuchangia.