kombo mzalendo
Senior Member
- Dec 20, 2012
- 118
- 11
Habarini wanajamvi napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwenu.
Naomba kuuliza swali eti wale waliopita kwenye first round ya TCU wanauhakika wa kupata vyuo moja kwa moja au hata wao wanaweza kutemwa ?
Nawasilisha wanajamvi.
Naomba kuuliza swali eti wale waliopita kwenye first round ya TCU wanauhakika wa kupata vyuo moja kwa moja au hata wao wanaweza kutemwa ?
Nawasilisha wanajamvi.