K kombo mzalendo Senior Member Joined Dec 20, 2012 Posts 118 Reaction score 11 Sep 17, 2014 #1 Habarini wanajamvi napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwenu. Naomba kuuliza swali eti wale waliopita kwenye first round ya TCU wanauhakika wa kupata vyuo moja kwa moja au hata wao wanaweza kutemwa ? Nawasilisha wanajamvi.
Habarini wanajamvi napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwenu. Naomba kuuliza swali eti wale waliopita kwenye first round ya TCU wanauhakika wa kupata vyuo moja kwa moja au hata wao wanaweza kutemwa ? Nawasilisha wanajamvi.
F flyn rider JF-Expert Member Joined Sep 24, 2013 Posts 456 Reaction score 78 Sep 17, 2014 #2 Wale wameshapata,hawawezi kutemwa abadani
youngkato JF-Expert Member Joined Sep 3, 2014 Posts 3,319 Reaction score 3,097 Sep 17, 2014 #3 kombo mzalendo said: habarini wanajamvi napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwenu. naomba kuuliza swali eti wale waliopita kwenye first round ya tcu wanauhakika wa kupata vyuo moja kwa moja au hata wao wanaweza kutemwa? nawasilisha wanajamvi. Click to expand... utatemwaje wakati ushaambiwa u have been selected
kombo mzalendo said: habarini wanajamvi napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwenu. naomba kuuliza swali eti wale waliopita kwenye first round ya tcu wanauhakika wa kupata vyuo moja kwa moja au hata wao wanaweza kutemwa? nawasilisha wanajamvi. Click to expand... utatemwaje wakati ushaambiwa u have been selected
S swahaba sultan Senior Member Joined Sep 16, 2014 Posts 119 Reaction score 8 Sep 17, 2014 #4 huwezi temwa.
Y yasin adam Member Joined Sep 16, 2014 Posts 21 Reaction score 0 Sep 17, 2014 #5 duuh hyo haieleweki kaka,lolote laweza tokea.
F futplayer Member Joined May 11, 2014 Posts 47 Reaction score 3 Sep 17, 2014 #6 Kwa mwaka huu wanafunzi ni wachache kulingana na nafasi zilizopo vyuoni ko kila mwanafunzi aliechaguliwa atapata post tu.
Kwa mwaka huu wanafunzi ni wachache kulingana na nafasi zilizopo vyuoni ko kila mwanafunzi aliechaguliwa atapata post tu.