Nicky nicky
Senior Member
- Aug 20, 2011
- 106
- 9
Naomba mwenye kufahamu 'modules' za kozi ya post graduate diploma in procurement and supply katika chuo cha Institute of Accountancy Arusha.Je, kwa mwenyeshahada ya elimu anaruhusiwa kusoma kozi hiyo?Nawasilisha
mkuu.kozi ni kama ifuatavyo SEM ONE:Strategic supply mgt,global sourcing mgt,accounting for managers and bankers,advanced strategic procurement,advanced public procurement SEM TWO:Research and consultancy methodology,contracts mgt,procurement and supplies audit,project mgt,HR mgt.kaz kwako.yes waweza kusoma hta ukiwa bachelor ya ualimu