Ngosha Mashine JF-Expert Member Joined Sep 21, 2017 Posts 665 Reaction score 1,360 May 13, 2018 #1 Nipo Tanga maeneo ya Lushoto kwa Wasambaa huku! nasikia mwezi huu(may) katikati itaingia Ramadhan, karibu kila nyumba kuna mwali watu ni mwendo wa kula ubwabwa kuna nini kati ya Ramadhan na kuoa?
Nipo Tanga maeneo ya Lushoto kwa Wasambaa huku! nasikia mwezi huu(may) katikati itaingia Ramadhan, karibu kila nyumba kuna mwali watu ni mwendo wa kula ubwabwa kuna nini kati ya Ramadhan na kuoa?
Raynavero JF-Expert Member Joined Apr 29, 2014 Posts 38,378 Reaction score 56,047 May 13, 2018 #2 Kuna kuoa na kuolewa
Ulweso JF-Expert Member Joined May 24, 2016 Posts 23,111 Reaction score 28,020 May 13, 2018 #3 Raynavero said: Kuna kuoa na kuolewa Click to expand... [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Raynavero said: Kuna kuoa na kuolewa Click to expand... [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
goldie ink JF-Expert Member Joined Oct 6, 2016 Posts 5,634 Reaction score 9,149 May 14, 2018 #4 Hatutaki ndoa.
Shadeeya JF-Expert Member Joined Mar 12, 2014 Posts 49,759 Reaction score 118,798 May 14, 2018 #5 Mmh. Angalia yaliyokupeleka Mtani wangu Ngosha mengine waachie wenyewe wahusika.