kwa wale wa MUCCOBS anaetaka chumba/getto/hostel

Frekim

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2013
Posts
321
Reaction score
55
kama umechaguliwa kusoma chuo cha muccbus na unaitaji chumba /getto au hostel ni Pm..
NOTE: muccobs hostel ni kwa wanawake tu, boys mnajitegemea/n'je ya chuo
 
kama umechaguliwa kusoma chuo cha muccbus na unaitaji chumba /getto au hostel ni Pm..
NOTE: muccobs hostel ni kwa wanawake tu, boys mnajitegemea/n'je ya chuo
muccbus ndio nini? mbona unatudhalilisha watu wa MUCCoBS
 
We mtoa mada jaribu kuwa mstaarabu,naona ume post ili ujifuraishe.
Nina wiki zaidi ya mbili niliku pm lakini hujajibu mpaka sasa.
Inawezekana wewe ni mwanafunzi wa Old Moshi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…