Hello,
Nauza magauni mazuri sana ya kwenda kazini,ofisini na kwenye mitoko mbalimbali.kwa Bei ya Tsh 10,000-20,000.
Lakini Pia ninauza Official skirt na pant kwa Bei ya sh 6,000-15,000.
Lakini pia kwa wale wa msikitini na wapenda vaa stara kuna Mabaibui/Abaya mazuri mno kwa Tsh 15,000-20,000.
Haya karibuni sana whatsap kwa number +255 718 770 746
Na kawaida kwa number 0742699355.
Wakaka mnakaribishwa pia kuwanunulia wake au wapenzi wenu
NINAPATIKANA DAR ES SALAAM,na ninatuma mikoani kote Tanzania kwa uaminifu mno.
Ahsanteni sana.