Hongera kwa wazo. Nitoe maelezo niliyoyapata kwenye maonesho za 8-8, 2020 mbeya. KANUNI 5 ZA UFUGAJI BORA. 1. Mbegu bora 2. Banda bora 3. Lishe bora 4. Udhibiti wa magonjwa (chanjo, matibabu), na usafi. 5. Utunzaji wa kumbukumbu. AINA ZA MBEGU. 1. Fisheries ( anatoa maziwa machache ila yana mafuta mengi. Anafaa zaid kwny barid e.g mbeya) 2. & 3. Asha & Diese (wanatoa maziwa meng bt mafuta machache, wanafaa zaid kwenye joto e.g morogoro) 4.
Brown swis ( nimesahau maelezo mana n mda mrefu). pia tangu ng'ombe kuzaa kamua miez 6-7 then acha 2-3 ajiandae kuleta ndama mpya. Tangu kuzaa subir at least 2 or 3+ months ndo apandwe tena. JINSI YA KUMPANDISHA. 1. tumia njia ya kawaida dume juuu ya jike au 2. Uhimilishaji (gharama ndogo za uendeshaji wa mradi). TAASISI ZA KUTEMBELEA. 1. Tarere (uyole mbeya chuoni) 2. Nationa artificial incermination centre ( arusha-usa river). Karibu