Kwa wale walimu waliokosa post tuwasiliane

Kv-london

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2014
Posts
2,877
Reaction score
5,022
je wew ni mmoja wapo wa wale walikosa post za ualimu(diploma)

kama upo tayar na unataka kuajiriwa naomba tuwasiliane 0764616352

NB.mkono mtupu haulambwi
 
Ndio maana hata ajira umekoswa, badala ya kumtegemea Mola wako unapotuma maombi upya wizarani unamtumaini binadamu kwa kununua haki yako! Angalia wata ku anti Mseven ili upate ajira. Mtumaini Mungu utafanikiwa. Sikiliza wimbo wa Bonny Mwaitege unaitwa "Na alaniwe".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…